wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Mkuu,
Umesaidia sana maana wengine wangesubiri sana au wangesoma nusunusu kupitia post za watu
Umesaidia sana maana wengine wangesubiri sana au wangesoma nusunusu kupitia post za watu
Wamejitahidi ila mambo yafuatayo yanatakiwa kurekebishwa: Madaraka ya raisi, Kinga ya raisi,suala la umiliki wa ardhi bado halijafafanuliwa vizuri,Namna rasilimali zinavyoweza kuwanufaisha wananchi moja kwa moja,Mwanzo mzuri Warioba.
:yell:Habari zenu wanajamii.
naomba aliye na soft copy ya rasimu ya katiba mpya aitume hapa kwenye jukwaa ili nami niiipate niweze kuipitia kama wantanzania wengine .
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada huo.Nimeingia kwenye website yao sijaipata.
Asanteni.
:yell:Habari zenu wanajamii.
naomba aliye na soft copy ya rasimu ya katiba mpya aitume hapa kwenye jukwaa ili nami niiipate niweze kuipitia kama wantanzania wengine .
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada huo.Nimeingia kwenye website yao sijaipata.
Asanteni.
Asante...Soma na jipatie Rasimu ya Katiba aliyotangaza jana Mzee Warioba hapa.