EWURA tulikosea formular

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Uyu mkurugenzi wa ewura anaadmit kuwa walikosea formular yaani nimechokaa!
Ukimwangalia usoni ni kama hayuko serious it is as if wadau wa mafuta wakikomaa bei itarudi kama ya zamani!
 
Sasa sijui iyo formular itarekebishwa na hao hao waliokosea au watapewa wengine
 
tehe tehe so anasubiri nini kujiuzuru?maana EWURA haitusaidii wanakula kodi yetu bure tuu pumbavu saaaaaana!
 
huyu mkuu wa ewura inatakiwa akamatwe na kutiwa ndani. Kwenye kikao na wamiliki wa mafuta wameongea nini? Akaunti zake na bank statement zake za siku za karibuni zichunguzwe na wala rushwa wa pccb
 
Lazima hakosee, nchi inaongozwa kwa kubabaisha kila kona unategemea nini. Kila mtu anakurupuka tu lolote lile atakalo pata kijiweni bila kufanya utafiti wowote..
 
wamekosea wakiwa na maana kuwa itapungua zaidi.....au hiyo bei iliyopo ni ndogo sana inatakiwa ipande?
 
Uyu mkurugenzi wa ewura anaadmit kuwa walikosea formular yaani nimechokaa!

Ukimwangalia usoni ni kama hayuko serious it is as if wadau wa mafuta wakikomaa bei itarudi kama ya zamani!

Acha uongo, kasema wapi na saa ngapi? Kama hujaelewa kitu acha kukurupuka na ku post crap. Kama ni taarifa ya sa 2 usiku hata mm nimeona
 
huyu mkuu wa ewura inatakiwa akamatwe na kutiwa ndani. Kwenye kikao na wamiliki wa mafuta wameongea nini? Akaunti zake na bank statement zake za siku za karibuni zichunguzwe na wala rushwa wa pccb

Watamchukulia hatua gani iwapo hiyo ni sifa yao?
 
Ni kweli Masebu kasema hayo? kama mambo yataachwa yalivyo sasa, tutegeme tatizo kubwa la upatikanaji wa mafuta kuanzia miezi miwili au mitatu ijayo maana inawezekana makampuni makubwa ambayo huingiza mafuta yameshaanza kufanya cancelation ya order zao za mafuta kwa miezi inayokuja.Principles nzuri za biashara zataka kila kitu kifanyike wazi na hapo sasa ewura ndio wanatakiwa kuwa kweli regulator. Naona kwa hii issue ya sasa, Ewura imeamua kutumia mabavu kupitisha formula ile ili mafuta yashuke bei. Kwanini tusianze na kupunguza dermurage cost ambazo kwa kweli zipo ndani ya uwezo wetu? Hivi meli husubiri kwa muda mrefu kiasi gani kabla ya kushusa mafuta KOJ na nani analipia gharama za ucheleweshaji huo?
Kwa mtazamo wangu mimi kama KOJ iko congested, serikali ingeingia ushirika na makampuni ya mafuta kujenga bomba lingine la kushushia ili kuondoa gharama zisizo za lazima.
Approach ya sasa inaleta matatizo mengi kuliko unafuu maana nina shaka sana na upatikanaji wa mafuta siku za baadae kama hali itakuwa hivi.
 
Back
Top Bottom