Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
ufisadi mkubwa umeikumba mamlaka yetu EWURA ambayo tumekuwa tukiiomba wakamatane na hawa majangili wa kutopunguza mafuta..hakika imeniuhuzunisha leo hii wamepanda pipa kuelekea visiwa vya karribean kupata uhalali halisi wa mbei za mafuta na jinsi gani ya kukontuurrolu nishati yetu...katika msafara huo unaowachukua watu 10 ewura imetumia million 500 kuwasafirsha na kuwalipa posho wahusika ..katika hilo kuna mawaziri 3 wakiongozwa na ngeleja .mwandosya .kamishna ...mrindoko na wengine wengi ..katika hao mawaziri wanagawana sh million 15 kama posho na katika hao mawaziri wana wasaidizi wao 3 na wote wanalipiwa posho kabla ya kuendelea na list ya mkurugenzi wa ewura kamishna ...na nk..inasikitisha wakai tukiwa tunapiganania hali ya mafuta iwe chini watu ndio kwanza wanazidi kuendelea kula nchi more info ntawaletea kesho
SRC-KULIKONI
SRC-KULIKONI
Last edited by a moderator: