Ewe mtanzania usipoteze kura yako kumpa Lowassa

Nje ya chaki

New Member
Aug 17, 2015
4
2
Ewe mtanzania mwenzangu kati ya wagombea wawili wenye ushawishi Mzee mwenyewe Magufuli na mzee wa Mamnvi ila Magufuli anafaa 100% kwanza ana afya nzuri kwa kuthibitisha hilo amezunguka tangu kampeni zimeanza ila mzee wa mamnvi upepo unakatakata sana,pili kuna viongozi wengi waliopo ccm walishawishiwa kugombea upinzani wakakataa ila mbona yeye alikubali atakua na ajenda ya siri,Tatu ana kashifa Magufuli hana kashifa yoyote ailioibuliwa kama Richmonds,Nne Tanzania tunataka Rais Mkali kidogo,Lowasa kwenye mikutano yake hata kelele anashindwa kutuliza mfano mkutano wake na wamama dar ulioandaliwa na Halima Mdee.
 
Ewe mtanzania mwenzangu kati ya wagombea wawili wenye ushawishi Mzee mwenyewe Magufuli na mzee wa Mamnvi ila Magufuli anafaa 100% kwanza ana afya nzuri kwa kuthibitisha hilo amezunguka tangu kampeni zimeanza ila mzee wa mamnvi upepo unakatakata sana,pili kuna viongozi wengi waliopo ccm walishawishiwa kugombea upinzani wakakataa ila mbona yeye alikubali atakua na ajenda ya siri,Tatu ana kashifa Magufuli hana kashifa yoyote ailioibuliwa kama Richmonds,Nne Tanzania tunataka Rais Mkali kidogo,Lowasa kwenye mikutano yake hata kelele anashindwa kutuliza mfano mkutano wake na wamama dar ulioandaliwa na Halima Mdee.

Umeshakula leo?
 
Magufuli ana kashfa ya kivuko chakavu
kutukana wananchi wa kigamboni waogelee kuja mjini
kugawa nyumba ya serikali kwa kimada wake
kuhusu RICHMOND kikwete ndiye muhusika.
Kakojoe ukalale kum...bako:bange::A S 41::A S 41:
 
Hii Akaunti ni Mpya na ina post 2 tu ikiwemo na hii jambo hili lina Maana mtoa Mada ametumwa tokea Lumumba Kwa Ajili ya kumchafua Rais wetu Mh. Lowassa.

Mgombea wao hata Jiografia ya darasa la nne hajui anachanganya tu Kila siku Madesa. Hajui Libya iko wapi, Iraq wala Kuwait.

Hii ni Shida ya Fundi Madaraja Kutaka Kuwa Rais wa nchi.

CCM mmechemsha, October 25 ni siku ya KIAMA CHENU.
 
Magufuli mwenyewe anaumwa ndio maana alienda Loliondo kubugia kikombe cha babu ....Lowasa ndio rais wetu ajae
 
Kwa hiyo umebadili ID yako ile tunayoifahamu kwa ajili ya hili tu !!! Unasema EL afya yake sio nzuri, angekuwa Baba yako bado ungemsea hivyo ? Haya jibu hayo maswali nikuelewe ili mimi na marafiki zangu tusipoteze kura.
 
Ewe mtanzania mwenzangu kati ya wagombea wawili wenye ushawishi Mzee mwenyewe Magufuli na mzee wa Mamnvi ila Magufuli anafaa 100% kwanza ana afya nzuri kwa kuthibitisha hilo amezunguka tangu kampeni zimeanza ila mzee wa mamnvi upepo unakatakata sana,pili kuna viongozi wengi waliopo ccm walishawishiwa kugombea upinzani wakakataa ila mbona yeye alikubali atakua na ajenda ya siri,Tatu ana kashifa Magufuli hana kashifa yoyote ailioibuliwa kama Richmonds,Nne Tanzania tunataka Rais Mkali kidogo,Lowasa kwenye mikutano yake hata kelele anashindwa kutuliza mfano mkutano wake na wamama dar ulioandaliwa na Halima Mdee.

Unanidanganya bure. Tunampa huyo huyo hata mkimsema vibaya vipi tumechoka na mfumo wa kupeana ulaji wote tunapenda kunufaika na raslimali za nchi hii siyo nyinyi mnaobebwa na majina ya koo zenu muendelee kufaidika tu ona BOt mlivyojipanga. Hatudanganyiki.
 
Back
Top Bottom