evra ni drama queen... kumbuka alivyoharibu world cup ya france kwa kuongoza mgomo
sasa anaweza kuja na kusema baloteli alimtongoza
kweli mkuu... i read alot about him kwenye Football forum - TheGoalPosts cheki threads za man-sita na liverpoolyaMTM acha hizo bwana!
World Cup ya France iliharibiwa na kocha wao Raymond Domenich ambaye walifanya makosa baada ya kuchemsha kwenye Euro,Domenich alishindwa kuwadhibiti wachezaji ilifikia wakati Yoan Gourcouf akiwa na mpira hampi pasi Ribery.Gallas alimshawishi Domenich asimchukue Nasri WC.Domenich aliwaacha wachezaji kama Nasri,Vieira,Mexesevra ni drama queen... kumbuka alivyoharibu world cup ya france kwa kuongoza mgomo
sasa anaweza kuja na kusema baloteli alimtongoza
pole sana ndio ukubwa huo..MTM acha hizo bwana!
kweli mkuu... i read alot about him kwenye Football forum - TheGoalPosts cheki threads za man-sita na liverpoolya