EU: Tumejiandaa endapo Urusi itasimamisha kabisa usambazaji wa gesi

Mrengwa wa kulia

JF-Expert Member
Mar 21, 2022
1,008
3,528
Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia uchumi Paolo Gentiloni amesema muungano huo umejiandaa vyema endapo Urusi itasimamisha kabisa
usambazaji wa gesi.

Gentiloni amesema hawaogopi uamuzi wa Putin, lakini wanaitaka Urusi kuheshimu mikataba, na kama hilo litashindikana wameajiandaa kwa hali yoyote.

Kampuni kubwa ya gesi ya Urusi ya Gazprom ilitangaza siku ya Ijumaa kwamba bomba la Nord Stream 1 ambalo linaunganisha Ujerumani na Urusi, litasimama kabisa hadi pale tabaini yake itakapofanyiwa ukarabati.

Moscow ilichukua hatua hiyo baada ya kundi la nchi saba zilizopiga hatua kiviwanda G7 kukubali kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi.

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen alikubaliana na pendekezo la Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi kuweka ukomo wa bei ya gesi inayoagizwa kutoka Urusi kupitia bomba hilo.
 
Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia uchumi Paolo Gentiloni amesema muungano huo umejiandaa vyema endapo Urusi itasimamisha kabisa
usambazaji wa gesi.

Gentiloni amesema hawaogopi uamuzi wa Putin, lakini wanaitaka Urusi kuheshimu mikataba, na kama hilo litashindikana wameajiandaa kwa hali yoyote.

Kampuni kubwa ya gesi ya Urusi ya Gazprom ilitangaza siku ya Ijumaa kwamba bomba la Nord Stream 1 ambalo linaunganisha Ujerumani na Urusi, litasimama kabisa hadi pale tabaini yake itakapofanyiwa ukarabati.

Moscow ilichukua hatua hiyo baada ya kundi la nchi saba zilizopiga hatua kiviwanda G7 kukubali kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi.

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen alikubaliana na pendekezo la Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi kuweka ukomo wa bei ya gesi inayoagizwa kutoka Urusi kupitia bomba hilo.
Wanatoa kauli za kishujaa wakati wakiminywa kende wanaanza kupiga kelele
 
Timu russia mshaurini putin achane na hii vita itamnyonyoa taratibu mpaka awe kama kuku mwenye kideri,mabeberu sio watu wema ayaa!
HAKUNA atakayebaki salama ktk hili sababu ndiye Super power ambaye anatetemesha Ulaya na Marekani yote bila kutetereka nasi Africa tunaisoma Namba.
 
Wamejiandaa kwa lipi?,Hao EU hawana mbadala wa gesi Wala mafuta.Mbadala wao ni Qatar,na Ili uisafirishe kiulaini ni lazima uipitishie Syria,Putin akawaotea kitaambo yupo huko na USA wanasumbuana akili.
Samahani mkuu, ina maana wewe una uelewa wa mambo hayo zaidi ya hao viongozi wa EU?!!ina maana urusi akizima mitambo yake ya gesi(nadhani ameshafanya) EU, ndio basi tena hawana njia mbadala kabisa?!
 
Samahani mkuu, ina maana wewe una uelewa wa mambo hayo zaidi ya hao viongozi wa EU?!!ina maana urusi akizima mitambo yake ya gesi(nadhani ameshafanya) EU, ndio basi tena hawana njia mbadala kabisa?!
Nchi zote EU zina vyanzo vyao vya gesi hazitumiki zote tu.
Sio kwamba Urusi akizima basi giza.
Kuna nchi EU hata haziongelei hiyo gesi ya Urusi
 
Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia uchumi Paolo Gentiloni amesema muungano huo umejiandaa vyema endapo Urusi itasimamisha kabisa
usambazaji wa gesi.

Gentiloni amesema hawaogopi uamuzi wa Putin, lakini wanaitaka Urusi kuheshimu mikataba, na kama hilo litashindikana wameajiandaa kwa hali yoyote.

Kampuni kubwa ya gesi ya Urusi ya Gazprom ilitangaza siku ya Ijumaa kwamba bomba la Nord Stream 1 ambalo linaunganisha Ujerumani na Urusi, litasimama kabisa hadi pale tabaini yake itakapofanyiwa ukarabati.

Moscow ilichukua hatua hiyo baada ya kundi la nchi saba zilizopiga hatua kiviwanda G7 kukubali kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi.

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen alikubaliana na pendekezo la Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi kuweka ukomo wa bei ya gesi inayoagizwa kutoka Urusi kupitia bomba hilo.
Wamejiandaa kuwa barafu😂😂😂 siku hazigandi tunasubiria saivi mfumuko wa bei umefikia 1000%
can you imagine that? Viwanda vinafungwa, magari hayaendesheki na nyumba zinaganda, watakufa kama nzige
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom