Etoile du Sahel na Esperance de Tunis kundi moja CAFCL

east36

JF-Expert Member
Aug 4, 2013
1,299
473
Habari wanajamvi, hili swala limekuwa likinifikirsha kwa muda sasa. Imekuwaje katika kupanga makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika(CAFCL), timu mbili za kutoka Tunisia kupangwa kundi moja? Katika kundi C kuna Etoile du Sahel na Esperance de Tunis.

Je inawezekana kuna msimu Yanga na Simba wakapangwa kundi moja kwenye hatua ya makundi CAFCL?
Screenshot_20240225_082654_All%20Goals.jpg
 
Habari wanajamvi, hili swala limekuwa likinifikirsha kwa muda sasa. Imekuwaje katika kupanga makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika(CAFCL), timu mbili za kutoka Tunisia kupangwa kundi moja? Katika kundi C kuna Etoile du Sahel na Esperance de Tunis.

Je inawezekana kuna msimu Yanga na Simba wakapangwa kundi moja kwenye hatua ya makundi CAFCL?View attachment 2915626

Sent from my SM-G977N using JamiiForums mobile app
Ndio inawezekana
 
Habari wanajamvi, hili swala limekuwa likinifikirsha kwa muda sasa. Imekuwaje katika kupanga makundi ya ligi ya klabu bingwa Afrika(CAFCL), timu mbili za kutoka Tunisia kupangwa kundi moja? Katika kundi C kuna Etoile du Sahel na Esperance de Tunis.

Je inawezekana kuna msimu Yanga na Simba wakapangwa kundi moja kwenye hatua ya makundi CAFCL?View attachment 2915626

Sent from my SM-G977N using JamiiForums mobile app
Ndio inawezekana na hilo sio mara ya kwanza, Al Mereikh na Al Hilal waliwahi kuwa kundi moja. Utaratibu wa CAFCL hatua ya makundi ni kuweka Pot kutokana na point za timu. Kwahiyo kuna Pot 1 kunakuwa na timu zenye point za juu kabisa, Pot 2 timu zinazofuatia kwa point na Pot 3 na pot 4 timu zenye point za chini kabisa. Hapo kundi linakamalika kwa kuchukuliwa timu moja kwa kila pot
 
Back
Top Bottom