Ethiopia: Waasi wa Tigray wagomea mazungumzo ya Amani na Serikali ya Shirikisho

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,031
1,646
Msemaji wa kundi la waasi la Tigray People's Liberation Front (TPLF) Getachew Red amefutilia mbali mazungumzo ya amani kutokana na Serikali ya Nchi hiyo kuendeleza vikwazo Jimbo la Tigray

TPLF ilionyesha utayari Mwezi Julai kufanya mazungumzo ya amani na Serikalu, lakini tangu wakati huo imeitaka Serikali ya Shirikisho kuruhusu huduma kama vile Mawasiliano, Umeme na Benki katika Jimbo hilo

Waasi hao pia wanataka Serikali kukubali jimbo hilo kuwa na Jeshi lake lq kujitegemea

……………


Tigray rebels rule out talks while 'under blockade'

A spokesman for the rebel Tigray People's Liberation Front (TPLF) has ruled out talks with the Ethiopian government while people in the beleaguered northern Tigray region were "under blockade".

Getachew Red said on Twitter on Saturday that "it is not going to work!"

"The way I see it, the only precondition they are putting forward is that we join such a circus with our hands tied, our people starving and in the dark and with our entire population under blockade," he said.

The Ethiopian government has named a seven-member team for the talks which it wants held without preconditions.

The TPLF expressed readiness last month to hold peace talks with the government, but has since demanded that the federal government allow services such as communications, electricity and banking to the troubled region.

The rebels also want the government to accept that the Tigray state will have its own army.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom