G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Nimejaribu kuingilia kule kweny sport imekuwa ngum ndio nikakumbuka swala la utambuz wa melody mbalimbal pia ni tech. Sasa wakuu kuna wimbo flan si wa hapa nchini labda ni wakizulu unapart inayoimbwa hv
uuuuuuh uuuuuh awimba eh awimba eh... Ni sehemu hyo nnayoikumbuka naomba kujulishwa.
uuuuuuh uuuuuh awimba eh awimba eh... Ni sehemu hyo nnayoikumbuka naomba kujulishwa.