Mbunge wa viti maalum Ester Bulaya (CCM) nae amekanusha kumpigia debe Zitto kwenye Urais.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika;
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, ameandika;
NawasilishaNasikitika sana kuambiwa kuwa nimempigia debe urais mh Zitto Kabwe. Huu ni uwongo wa kutupwa!
Tulienda Kigoma kuwaunga mkono wasanii wa Kigoma walioamuwa kwenda kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo cha vijana.
Nilienda kama mbunge wa vijana kwa ajili ya kuunga mkono vijana wenzangu. Huu ni uzushi mkubwa. Natambua kila chama kina utaratibu wa kupata mgombea urais