ESCROW: Hatimaye Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kulipia kodi

Huyu ndiye anayejiita Sokoine wa pili.???

Poor Mwigulu Nchemba, Poor Government, Poor Tanzanans....!!!!!

Jiulize ni wapi ktk historia alipata kumuona Sokoine akiwasamehe wezi na kuwataka walipe kodi kwa wizi walioufanya. Tena anatakiwa waache kulidhilisha jina la Edward Moringe Sokoine We had only one Prime Minister Only one Sokoine...!! Mwigulu kaoge kwenye bwawa la damu ya Nguruwe Either nenda hata mara tano kwa Tb Joshua huwezi kamwe tena haustahiri hata kufuta viatu viatu vya Sokoine achia mbali kujifananisha naye.

Tukana matusi yote lakini kujifananisha na Sokoine ndilo tusi kubwa ulilowatukana Watanzania hususani sisi WATANGANYIKA, na hili tumelitbibitisha kwenye hili sakata la Escrow.. Hivi kama Fedha za Escrow zilikuwa halali kwanini mlimtimua mama Anna Tibaijuka? kwanini Mlimsimamisha Maswi Eliakim??

Leo unasimam mtu mwenye upungufu wa Credibility na kuwataka wat walipe kodi kwa fedha zilizowafanya waachie Nyadhifa walizokuwa wakishikilia Serikaini... How comes?

Wewe tulishakutambua ni gaidi mwenye Ushahidi duniani hata Mbinguni, kwa hilo hakuna anayekuhoji wala kusimama kupigia kelele. Lakini kisimama Mbele ya kafamnasi na kujiita wewe ni Sokoine wa pili... Tutakupinga Mbinguni na Duniani...!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Huku bado ni usanii tuu. Hawa j
Kupe wamechukua fedha toka mwaka Jana kodi inadaiwa Leo. Hv kweli ccm timamu? Wameshasahau kipindi cha wahujumu uchumi kilikuaje? Ingekuwa ni wapinzan Leo wangekuwa uraian? Hebu msifanye watz wa Leo sawa na wa Jana aisee
 
Umeiweka vizuri mkuu.TRA WANAKOSA MBINU NZURI ZA KUKUSANYA MAPATO LAKINI INCOME YOYOTE INALIPIWA KODI.SEMA SKANDALI HII INAWEZA KUWACHANGAMSHA.

Ila namna ilivyowekwa inaleta UKAKASI,tutalipaje kodi kwa pesa za rushwa?Hivi tunaihalalisha rushwa na kukubali,kweli?hivi watanzania tunaenda wapi?Hawakupaswa hata kuwapa notice au invoice za kulipa kodi maana pesa yote imetokana na rushwa na wizi.
 
Serikali makini Kama China ingekuwa ilisha wafilisi hao viongozi wa dini wangetimuliwa na warudi kwao vatcan. Wengine wote risasi za kisogo tuu
 
sio kweli. ndio maana wenzetu hujaza tax returns. Hela za mchango zinakwenda kwenye shughuli husika hivyo haziingi kwenye tax return yako. unless unataka kusema harusi/msiba ni mradi wa kipato. unapopata gawio la hisa hulipi kodi kwa sababu kampuni inakuwa imeshakata kodi ya zuio. ndio maana nasema aliyepaswa kulipa ni PAP kwa kuchukua kodi ya zuio kwa niaba ya TRA

Yeye pap atalipa kodi kivip wakati yeye ndo amenunua aliyepata hela ndiye wa kulipa kodi maana ndiye aliyepata
 
Mkuu hii nchi inaongozwa na mataahira tuvumilieni tu maana tuliyataka wenyewe!!!

Yaani hapo ni full hujuma dhidi ya uchumi wa taifa letu! Haiwezekani eti kia ofisi yenye mwelekeo wa kutoa maslahi kwa wawekezaji ikapewa mgawo, huu ni wizi wa fedha za walala hoi, hii ni fedha ya umma!! Kwa Ma-Tanzania ni mamburura ndo maana jamaa wanafanya yote hayo maana hakuna wa kuwahoji, sisi mi-Tanzania ni mizezeta!! Hapo ni wazi kabisa hata Rais wetu amepata mgawo, maana kama wale waliohusika katika kuusaidia mradi wa iptl kufanya kazi nchini wamepewa mgawo iweje yeye akose wakati ndo alikuwa waziri wa nishati na madini (ama waziri wa fedha kama sijakosea) kipindi hicho? Rais arudishe hela zetu na awashinikize hao watu wake warudishe hiyo fedha yote na atuombe radhi wa-Tanzania kwa kutudanganya!! Ndo maana watu wanapigana vikumbo kuingia Ikulu hata kama afya ni mgogoro watu wanang'ang'ania kwenda Ikulu kwa vile kuna ma-deal ya uhakika!!! Mzee Nyerere tu ndo alikuwa hajui kama Ikulu kuna biashara, kumbe ipo bwana tena ya uhakika!!!

Watanzania siyo mazezeta ila waoga wa kuchukua hatua.Naomba niwaze kwa sauti,hivi MAHAKAMA ikipelekewa kesi hii kuna cha maana kitakachofanywa zaidi ya kesi kutupwa nje?Maana MAHAKIMU wamelamba peremende ya ESCROW na aliyewateua hataki kuwawajibisha sababu na yeye ni muhusika mkuu kwenye sakata zima au twaweza sema ndiyo PLANNER wa haya yote.

Inakuwaje rais unashindwa kumtolea uvivu HAKIMU aliyepokea pesa?Kwa nini asiulizwe zilikuwa za nini?Ndiyo maana tunaona wote JR na Singasinga wako busy kupeleka kesi mahakamani na kushtaki kila mtu atakayeongea kuhusu IPTL.

Hivyo kaka siyo kwamba sisi ni MAZEZETA kama ulivyoelekeza bali tunakosa MUHIMILI wenye nguvu wa kutamka wazi sasa basi!!!!!!!!!!!!

Ona jeshi la polisi limeweza kusimamia hata kuapishwa kwa wenyeviti ambao hawakuchaguliwa sababu tu wamepewa order toka LUMUMBA,wanajeshi wetu je?Wako kimya uchumi wa TAIFA unasambaratika hakuna wanachofanya TISS ndiyo kabisa wakop busy kulinda maslahi ya MAFISADI,Bunge ndiyo lile 90% ya wabunge wake wameonjeshwa ASALI ya ESCROW,sasa UZEZETA wetu uko wapi?Kaka tumefungwa MIGUU na MIKONO!
 
Mtazamo wangu, kudai kodi na watu kufurahia ni ujinga wa siku zote wa'Wadanganyika'- Watanzania sababu kinachofanywa ni KUHALALISHA HARAMU. Nchi inafilisiwa na majangili badala ya kuwakamata na kuwafunga maisha, eti wanahalalishiwa wizi kwa kudai kodi halafu watu tunachekelea.
 
sio kitu kibaya Mh Mwiguru lakini nafikiri ungesubiri kidogo kwa Tiba na Mzee wa vijisenti kamati za maadili husika na Dr Hosea wakatoa yao ili twende sawa ...na maelezo Mzee Chenge na Tiba Consulyancy na Shule ...hii inasaidia kuondoa kiwingu hasa....Chenge Lada yeye na chenji ikarudi Ndege ya Mh Rais nk tu jipange katika kushugurikia haya mambo hasa kwa wanaojitokeza mara kwa mara na kutukanisha chama chetu.
 
Yeye pap atalipa kodi kivip wakati yeye ndo amenunua aliyepata hela ndiye wa kulipa kodi maana ndiye aliyepata

Mkuu, hoja hapa ni kodi ya zuio la dhamani. PAP ndio anapaswa kulipa. Unapomuuzia mtu kitu kwa shs 100 kama kuna kodi ya zuio wewe unamlipa 85, 15 unalipa mamlaka ya mapato, usipofanya hivyo wakija kukagua utalazimika kulipa zaidi ya 100 kufidia kodi ambayo hukukusanya. Kama ulishawahi kupanga nyumba na ukatakiwa kulipa kodi ya zuio anayelipa ni mpangaji na sio mwenye nyumba. katika hela anayosema unatakiwa kupunguza kodi ya zuio. (withholding tax)
 
Pesa alizolipwa Rugemalila alishalipia kodi, baaada ya kupata tax clearance kutoka TRA ndio akalipwa hizo pesa, na yeye ndo akazigawa kwa hao aliowagawia, hii ni kwa mujibu wa nyaraka ambazo zimeshawekwa humu. Suala la kodi kwa waliolipwa linakuja kwa kigezo kwamba hayo ni mapato kwao waliyopokea hivyo mapato yoyote anayopata mtu lazima ulipie kodi. Ni sawa na fungu la kumi, Mimi nikipata mshahara natoa fungu la kumi Kanisani, lakini nikimpa mwanangu pocket money kutoka kwenye hiyo pesa ambayo nimeshaitolea fungu la kumu, mwanangu pia anapaswa kutoa fungu la kumi, kwa kuwa hicho nilichompa ni pato lake, anajipangia matumizi yeye mwenyewe.
 
Sasa wale wa Stanbic mbona hatuwasikii kulipa kodi ilihali Mwigulu na serikali yake inawajua ni wakati wa akina mam Tiba,Mtemi Chenge,Ngereja kuanza kuimba na wagome kulipa hiyo kodi hadi wale wa Stanbic wamelipa na kutolewa majina yao hadharani

wale ni malaika wa ccm walichukua hawatakiwi kulipa kodi.
 
Ndio maana nimesema hapo juu waliogawiwa pesa hawapaswi kupa kodi isipokuwa waliolipwa pesa hizo ambao ni Rugemalila na Singasinga. Hawa waliogawiwa wanaweza kudai haki mahakamani na wakashinda.[/

Mkuu KODI YA MAPATO INAKATWA KWA KILE UNACHOINGIZA HATA KAMA UMEPEWA, NI KAMA ZAKA.SEMA TATIZO TRA WAMEKOSA NAMNA YA KUBAINI MALIPO YA AINA HII MPAKA MUHUSIKA AJISALIMISHE.HAWA WAMEBANWA KWA KUWA IMEKUWA WAZI HAKUNA NAMNA YA KUKWEPA.
hata mtoaji pesa akionekana matoleo yake ya pesa ni makubwa kuliko kipati kinacho julikana tra wanaweza kumkadiria kodi au mtu akiwa na mali nyingi kuliko tax return yake tra wanatakiwa kukadiria kodi yao. Kama AM nvestment tax return yake haiendani namali alizokunao
 
Pesa zinatakatishwa na TRA

Naona tatizo hapa sio TRA ila Mwigulu Nchemba anataka kulibeba hili suala la ESCROW kama mtaji wake kisiasa. Ni lazima ifike mahali pale anapotoa maelezo yake kuwe na vielelezo vya msingi na sio kutoa bla bla pekee kama yuko kwenye club ya pombe za kienyeji. Mfano anaposema kuna watumishi saba wa TRA wamesimamishwa kazi kwa sakata hilo ni muhimu pia akawataja majina na kuweka wazi kuwa wamesimamishwa kazi kuanzia lini; hata anaposema wanufaika wa fedha za ESCROW wameandikiwa barua na kupewa siku 30 ili walipe kodi stahili ni lazima kuwe na maelezo stahili kuwa hizo barua zimeandikwa lini na hayo madai yanazingatia sheria ipi vinginevyo yote anayoongea Bw. Nchemba yatabaki kuwa ngonjera na hadithi za alinacha pekee,
 
w3ale wa STANBIC wa LUMBESA watapelekewa lini Invoice?

HAKUNA MTU MNAFIKI KAMA MWIGULU NCHEMBA.

IVI HAJUI KUWA WATANZANIA TUNAFAHAMU PIA KUNA MGAWO MWINGINE ULIFANYIKA KTK BENKI YA STANBIC?? MBONA NA HAO HAWAKOMALIWI KULIPA KODI
HIVI HAJUI KUWA WATANZANIA WANAJUA KUWA PIA BOSI WAKE PIA ALIPATA MGAWO WA UKO STANBIC BANK??? AH AH HIVI MGAWO SI MGAWO TU NA LAZIMA WOTE WALIPIE KODI ANAYOJIGAMBA KUWA LZM WALIPE WALE WA MKOMBOZI NA SASA ILI AHAMINIKE BASI NA ATUPE ORODHA YOTE YA WALOBENEFIT HUKO STANBIC VINGINEVYO AONDOE MAUSHUZI YAKE HUKU AKIJUA KUWA AHACHE
KUJIDANGANYA KUWA NI CONTENDER MAHIRI WA URAISI. AONDOE SHOMBO LAKE HAPA LA NGURUWe
 
Waliolipwa na Sethi mboana hawataji tudai kodi yetu? Mwigulu aka Muwa sio Embe?
Kama ilikubalika so za umma kwanini watu wanasumbuliwa kwa fedha binafsi.Hii issue ilisha washinda bora wote waawaache tu kuliko Ku double standard
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom