nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,664
kuna equal right katika katiba ya Tanzania (1977 art 13) kwa wananchi wote lakini still classes zinatamba, mwalimu na mbunge are not equal vivyo hivo daktari na msanii. napata jibu kuwa sheria zetu zipo kwenye kitabu tu