Ntumami
Senior Member
- Sep 3, 2010
- 127
- 23
Habari wana JF, leo ningependa kukumbushana maisha tuliyopitia katika kipindi ukiwa bachelor.... yaani zile experience za ubachelor unazozikumbuka ambazo ukiwa kwenye Ndoa hutarajii sana kukutana nazo
teh teh teh kwa kuanza
1. kula canteen karibu milo yote
2. chakula kikuu chako kuwa chips mayai kwa kuwa zinapatikana kwa urahisi zaidi maeneo mengi ya mijini
3...........
4.........
endelea na wewe
teh teh teh kwa kuanza
1. kula canteen karibu milo yote
2. chakula kikuu chako kuwa chips mayai kwa kuwa zinapatikana kwa urahisi zaidi maeneo mengi ya mijini
3...........
4.........
endelea na wewe