Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Hivi kwa nini enzi zile za chama kimoja tulikuwa tuna uchaguzi wa rais?
Uchaguzi wa nini wakati mgombea alikuwa mmoja tu? Huu ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu sana. Yaani mijitu yote hiyo iliyokuwa kwenye chama na serikali haikuona ujingaa huu?
Nyambaaf kabisa. Ndiyo maana mpaka leo tupo kwenye hali tuliyonanyo kwa sababu ujinga wa hali ya juu ni janga la kitaifa.
Uchaguzi wa nini wakati mgombea alikuwa mmoja tu? Huu ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu sana. Yaani mijitu yote hiyo iliyokuwa kwenye chama na serikali haikuona ujingaa huu?
Nyambaaf kabisa. Ndiyo maana mpaka leo tupo kwenye hali tuliyonanyo kwa sababu ujinga wa hali ya juu ni janga la kitaifa.