johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Ndio unakuta walikuwepo akina Shehe Yahya, Askofu Kulola, Kardinali Rugambwa, Askofu Sepetu nk
Viongozi hawa walikuwa na jukumu la kuwafanya Viongozi wa kisiasa kutokuwa mfano wa kutenda dhambi zinazoonekana
Uwepo wa wabunge wasio na chama bungeni ni dhuluma kwa Wanachama wa vyama Vya Siasa wenye hiyo Haki ya kupeleka wabunge 19 bungeni
Kwa jinsi nilivyomuona Rais Ruto analia pale Ukutani Yerusalemi nilijiuliza sana Kati ya Ndugai, Mahera na Mnyika nani ataenda Yerusalemi maana ni Wagalatia watupu hawa
Yule Chekubati wa Tume Huru naye kakimbizwa Ujerumani kwa matibabu, malipo ni hapa hapa duniani
Tubuni mpate kusamehewa dhambi zenu
Jumaa kareem!
Viongozi hawa walikuwa na jukumu la kuwafanya Viongozi wa kisiasa kutokuwa mfano wa kutenda dhambi zinazoonekana
Uwepo wa wabunge wasio na chama bungeni ni dhuluma kwa Wanachama wa vyama Vya Siasa wenye hiyo Haki ya kupeleka wabunge 19 bungeni
Kwa jinsi nilivyomuona Rais Ruto analia pale Ukutani Yerusalemi nilijiuliza sana Kati ya Ndugai, Mahera na Mnyika nani ataenda Yerusalemi maana ni Wagalatia watupu hawa
Yule Chekubati wa Tume Huru naye kakimbizwa Ujerumani kwa matibabu, malipo ni hapa hapa duniani
Tubuni mpate kusamehewa dhambi zenu
Jumaa kareem!