Entry fee at Mlimani city

regam

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
269
51
Kwa kweli haiingii akilini
attachment.php
 

Attachments

  • 1414912371519.jpg
    1414912371519.jpg
    120.9 KB · Views: 2,423
Aise hii kali kumbe unaweza ukakaa kabla ya lisaa ukatoka ukaingia tena bila kulipa

Hii ni kwa wale wenye magari tu. . Kina sisi. Watembea kwa daladala haituhusu
 
Aise hii kali kumbe unaweza ukakaa kabla ya lisaa ukatoka ukaingia tena bila kulipa

Sawasawa, ukichukua tiketi unaanzisha stop-watch alaf dk ya 50 unatoka nje, unaenda kuingilia geti lingine unachukua tiketi tena. Unaweza tumia dk100 bure na utakua umemaliza shughuli yako! Uvumilie usumbufu wa dk20 za kutoka na kuingia tena, na ndipo utagundua umeokoa Tsh 500/- tena ya sarafu kwa masaa 2.
 
kuna mtu alikuwa analipaki anaenda posta kwente shughuli zake jioni anapita anachukua sasa hii imekula kwake.
 
Sawasawa, ukichukua tiketi unaanzisha stop-watch alaf dk ya 50 unatoka nje, unaenda kuingilia geti lingine unachukua tiketi tena. Unaweza tumia dk100 bure na utakua umemaliza shughuli yako! Uvumilie usumbufu wa dk20 za kutoka na kuingia tena, na ndipo utagundua umeokoa Tsh 500/- tena ya sarafu kwa masaa 2.

Mkuu labda utasave 300 maana kuna mafuta ya kuzunguka hadi geti jingine na pale round about ukituka foloni then yote 500 unaiacha hapo..hapo kuna time cost pia
 
UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA ....utamu wa ukusanyaji hela ukiwaingia wataanza kukatisha tiketi mlangoni ili tuingie.
 
Iko poa mbona unaingia mara nne kwa siku hulipi kitu au unalipa hyo 1500/4
 
Sasa zile benki mke ndani zilivyo na foleni Mmm kasheshe ILA tutazoea .Kwa Mimi ninasiku nyingi Sana sijaenda pale kwani huduma zilizopale zinapatikana kila mahali jijini Dar
 
Back
Top Bottom