House4Sale Eneo pamoja na nyumba vinauzwa

mimimnyenyekevu

JF-Expert Member
Apr 19, 2023
697
940
Eneo kubwa na zuri linauzwa pamoja na nyumba yake.
Lina ukubwa wa MITA 70 kwa 21.

Ndani ya eneo kuna nyumba yenye vyumba vinne,viwili ni master na vingine ni vya kawaida,sebule kubwa pia na dining nzuri.

Vyote hivi vinapatikana Kibaha kwa Mfipa kwa bei ya shilingi milioni sitini na Tano tu(65000000).Unakosaje Sasa ofa hii??
Piga simu no 0698235368.

Karibuni sana.

IMG-20230404-WA0000.jpg
IMG-20230404-WA0012.jpg
IMG-20230404-WA0002.jpg
IMG-20230404-WA0013.jpg
IMG-20230404-WA0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom