Encouraging news about Dr Ulimboka!

Inanikumbusha stori moja nilipokuwa chuo cha .......... mwalimu wangu mmoja alisimulia darasani siku moja, kuwa kuna jamaa walimteka mtu mmoja kwa nia ya kwenda kumuua msituni, lakini walipofika huko kabla ya kumuua wakamwambia kama ana neno la mwisho la kusema na aseme kabla ya kumuua, jamaa akaangalia chini akawaona sisimizi wakiwa kwenye msafara wao kama kawaida.

Jamaa akasema munawona hawa sisimizi, jamaa wakaitikia ndiyo, akawaambia basi hawa sisimizi siku moja watasema kuwa muliniuuwa. Jamaa wakacheka saana!

Na hatimaye wakamuuwa mateka wao na kuondoka. Miaka ikapita mingi tu bila wale wauwaji kujulikana, lakini siku moja, mmojawapo wa wale wauwaji akiwa anakata zake kilevi bar, mara akaona msululu wa sisimizi, akawaangalia saana kisha akaanza kuongea mwenyewe, kwa sauti ya kilevi, yaani nyie ndo mtakuja kusema kwamba eti mimi na akina fulani (akiwataja wenzake) tulimuuwa fulani (akimtaja marehemu).

Basi kwa sababu watu walikuwa wanamsikia anapoongea na wale sisimizi basi alifikishwa kituo cha polisi na upelelezi ukaanzia kwake. Mwisho wa siku wauwaji walipatikana na haki ikatendeka. Ndicho kitakacho tokea kwa Dr. Ulimboka, hata kama itapita miaka mingapi, ukweli utajisimamia wenyewe, na siku moja haki itapatikana.
 
Failed assassination attempt,mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu?I heard he is recovering so quickly,get well our hero.
 
Mitandao ya siku hizi inakuwa na number ya mpigaji ambayo itakuwa na country code inayotokeza kwenye screen yako,au umesikia tu ? Taratibu muogo na uji wa asubuhi vinaweza kukupa elaji !
 
Ndugu kapotolo unajidanganya sana na sidhani ni kazi ngumu kujua mgonjwa anaenda kutibiwa wapi maana katika kile ninachoamini hukifahamu ni kwamba makachero wanafanya kazi na agents ambao hata wewe waweza kuwa agent bila kujitambua. Jiulize ticket zinapatikana wapi kama siyo hizi system za Amedeus na Galileo? Je immigration ni nani hawa hasa wa Airports? Uwanja wa ndege alioutumia ni wa wapi au alitoroshwa kupitia nchi jirani?

Tuache kujidanganya na tuache siasa in this matter. Hao TISS wanaouwezo wa kukutruck popote muzee tena hasa ukiwa nnje ya nchi ambako addresses ziko vizuri na kwa taarifa yako kitengo cha uchunguzi (Detective Depatment) cha Tanzania kinakubalika kuliko unavyodhani.
 
I have just been informed that the Dr is doing fine wherever he is being treated! Very reliable info, take it from me!!

However the source could not tell me where he is being treated because the conversation was by phone.

Let's keep on praying for him!!

Thank you JESUS!

Ulimboka is a Nyakyusa name and its meaning is,''UNIOKOE" in swahili or in English,''SAVE ME JESUS''.
Majina siku zote yanaendana na tabia and there is always a spirit in a name.
That's why Dr.Ulimboka cheated death despite the fact that he was tortured to death!

IN GOD WE TRUST. Halelujah.
 
Ndugu kapotolo unajidanganya sana na sidhani ni kazi ngumu kujua mgonjwa anaenda kutibiwa wapi maana katika kile ninachoamini hukifahamu ni kwamba makachero wanafanya kazi na agents ambao hata wewe waweza kuwa agent bila kujitambua. Jiulize ticket zinapatikana wapi kama siyo hizi system za Amedeus na Galileo? Je immigration ni nani hawa hasa wa Airports? Uwanja wa ndege alioutumia ni wa wapi au alitoroshwa kupitia nchi jirani?

Tuache kujidanganya na tuache siasa in this matter. Hao TISS wanaouwezo wa kukutruck popote muzee tena hasa ukiwa nnje ya nchi ambako addresses ziko vizuri na kwa taarifa yako kitengo cha uchunguzi (Detective Depatment) cha Tanzania kinakubalika kuliko unavyodhani.
mi mwenyewe nimekikubali hicho kitengo, kama kinaweza kumng'oa mtu meno na kucha, mmmmmm...........! c.r.a.p!
 
Ndugu kapotolo unajidanganya sana na sidhani ni kazi ngumu kujua mgonjwa anaenda kutibiwa wapi maana katika kile ninachoamini hukifahamu ni kwamba makachero wanafanya kazi na agents ambao hata wewe waweza kuwa agent bila kujitambua. Jiulize ticket zinapatikana wapi kama siyo hizi system za Amedeus na Galileo? Je immigration ni nani hawa hasa wa Airports? Uwanja wa ndege alioutumia ni wa wapi au alitoroshwa kupitia nchi jirani?

Tuache kujidanganya na tuache siasa in this matter. Hao TISS wanaouwezo wa kukutruck popote muzee tena hasa ukiwa nnje ya nchi ambako addresses ziko vizuri na kwa taarifa yako kitengo cha uchunguzi (Detective Depatment) cha Tanzania kinakubalika kuliko unavyodhani.

Haya maneno yana ukweli na ulichoongea ni uhakika. Hata hivyo ukweli huu ulikuwa UKIFANYA KAZI ENZI ZA MWALIMU J.K.NYERERE(RIP) siyo kwa sasa!

Nasema hivi kwasababu sasa hivi Tanzania hatuna intelijensia ya nchi. Hawa waliopo ni wababaishaji,wala rushwa,wauza madawa ya kulevya,wasafirishaji wa wahamiaji haramu na watesaji wa wananchi.

Kwenye sakata la Dr.Ulimboka TISS lazima wanahusika na ni hawahawa ambao Rais anapofanya ziara iwe ndani ya nchi au nje ya nchi huwa wanatangulia kuangalia usalama wa eneo au nchi husika atakapotembelea Rais. TISS wanahusika pia na uingizaji au uvushaji wa wahamiaji haramu na wanaajua kina nani wamehusika na vifo vya Wahabeshi zaidi ya 40 huko Dodoma.
Yawezekana wewe ni mmoja wa hilo kundi la TISS
 
Hatuhitai ukweli zaidi ya tunaoujua. For his sake and his family aombe assylum huko aishi na kupractice profession yake hadi hapo ukombozi utakapopatikana. Akirudi, well sitaki kuamini kitakachomtokea! Ushauri tu

Akikimbia itakuwa vizuri zaidi maana wagonjwa wetu wataendelea kupata matibabu na maisha ya wasio na hatia yataokolewa. NI afadhali yeye mmoja aende zake ili wapone wengi kuliko akiendelea kuwepo hapa na migomo ya 3.5 M
 
Akikimbia itakuwa vizuri zaidi maana wagonjwa wetu wataendelea kupata matibabu na maisha ya wasio na hatia yataokolewa. NI afadhali yeye mmoja aende zake ili wapone wengi kuliko akiendelea kuwepo hapa na migomo ya 3.5 M

Hapo kwenye red - kwani wagonjwa wanakufa kwa ajili ya migomo???? Wagonjwa wengi wanakufa kwa ajili ya:

1. Kukosa huduma bora - ikimaanisha hata wawepo madaktari - vitendea kazi hakuna - Dakatari anatibu kwa vipimo!!
2. Mazingira mabovu wawapo mahospitalini - kulala chini - kukosa maji ya kufanyia usafi hospitalini
3. Kuchelewa kutibiwa - daktari mmoja Mtanzania anatibu zaidi ya watu 50 kwa siku peke yake - inabidi foleni za upasuaji etc. na mgonjwa aweza kufa kabla hata ya kumwona Dr.
4. Kukosa magari ya wagonjwa - ambulances etc. -
5. Kukosa Dawa zenye kiwango - Tanzania imejaa dawa za kichina too much
6. Kuvuta hewa chafu maeneo ya hospital - nenda hospital zetu usikie zinavyonuka - watu wana suffocate hovyo.....

Dr. Ulimboka alikuwa kiongozi alyechaguliwa na madaktari wenzie - na sio kwamba alikurupuka na akaanza kuongoza
Please kwa hili jaribu kuwa "great thinker" otherwise utakuwa unafikiria kama mbunge stella manyanya

Namalizia kwa KUMTAKIA DR. ULIMBOKA AFYA NJEMA - KWA HILI MUNGU AMEWAONYESHA KUWA YE YE NI MUNGU SI MWANADAMU KAMA TISS WALIVYODHANIA - MY PRAYERS GOES TO DR. ULIMBOKA AND OTHER DOCTORS -:amen:
 
Hatuhitai ukweli zaidi ya tunaoujua. For his sake and his family aombe assylum huko aishi na kupractice profession yake hadi hapo ukombozi utakapopatikana. Akirudi, well sitaki kuamini kitakachomtokea! Ushauri tu

Naunga mkono hoja yako kwani anaweza kurudi huku akaulizwa maswali magumu akapata pressure akafa kama Kolimba baada ya kuhojiwa,au hali yake akazidiwa hadi kufa kama shahidi muhimu kwenye kesi ZOMBE ni bora haya mengine yamkute huko kama BALALI
 
Unataka kujibia mtihani? Acha uprimary wako!
Look here:
1. Mungu aendelee kumpigania shetani aendelee kuaibika.
2. Mungu aendelee kumpigania, shetani aendelee kuaibika.
3. Mungu aendelee kumpigania shetani, aendelee kuaibika.

Ni sentensi ipi iliyo sahihi?
 
Back
Top Bottom