Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 314
- 288
Mwanariadha Emanuel Giniki Gisamoda ashika nafasi ya kwanza katika Mbio za Generali Geneve Marathon ( 2:10:39) huko Geneva Switzerland Jumapili 15 Mei 2022 katika kilomita 42, ambapo amewashinda wa Kenya na waethiopia.
Giniki ni Mwanariadha pekee anaefanya vizuri katika Riadha hapa nchini, hasa katika Mbio za Kilomita 21K mpaka Sasa hakuna wa kumkamata.
Katika mbio Hizi, amekimbia kilomita 42 yaani Full Marathon na kuibuka mshindi ambapo anatajia kukimbia Mbio za Jumuiya ya Madola (Uingereza) au Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Oregon,Marekani.
Giniki ni Mwanariadha pekee anaefanya vizuri katika Riadha hapa nchini, hasa katika Mbio za Kilomita 21K mpaka Sasa hakuna wa kumkamata.
Katika mbio Hizi, amekimbia kilomita 42 yaani Full Marathon na kuibuka mshindi ambapo anatajia kukimbia Mbio za Jumuiya ya Madola (Uingereza) au Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Oregon,Marekani.