Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Mkuu huku kwetu hakuna wanasayansi ila kuna waliosoma sayansi!
Mkuu hata Elon Musk ameanzia hapa hapa Afrika, ndio akahamia Canada baadae USA.Wanasayansi wapo kwa sababu Afrika inabinadamu kama nchi nyingine.Africa inabahati ya kuwa na race zote kuanzia, Black,warabu,wazungu, wahindi.Taatizo la Africa haipo tayari kufanya mapinduzi ya kisayansi.Tunawaza ubwanyenye tu, mfumo uliopitwa na wakati.Una jua mgunduzi wa Lithium ion battery ni Mmoroco? But America na Ulaya na sasa China ndio walionufaika na huo ugunduzi kuliko waafrika wenyewe.Unajua alie boresha fiber optic technology in Mghana, anaitwa Thomas Mensah,Unapozungumzia mkongo kuna mkono wa mwafrika.
Tatizo kubwa tumeamua iwe ilivyo and no one care sio kweli kuwa hakuna Wanasayansi Africa. Hizo ni baadhi ya teknolojia kubwa zilizoleta mapinduzi makubwa dunia vichwa vya Waafrika vimehusika moja kwa moja under western investment.
Elon musk alianza kuunda injin ya Rocket from scratch can you imagine! Wazungu wenzake walikataa kumuuzuia IBM launcher, akaanza utafiti na sasa ni gumzo.Don't underate Africa please,Africa ni kubwa sana kuliko unavyoiwaza.
 
Ile nimeingia PCB Advance, nikakutana na Chemical Kinetics & Equilibrium na Organic Chemistry zimevimbaaaa!
Nikasema shida ya nini kufia shule kisa kumfurahisha baba, asubuhi nikajibebea mizigo yangu nikakimbia shule.
Hivyo mimi siyo mwanasayansi kama Dr Kigwangala au Prof Joyce Ndalichako waliopewa teuzi.
Advanced chemistry nyepesi vile ikakutoa shule?

Sasa Physics vipi?.

Anyway mkuu.
 
Sio tuu magari ya umeme, sema kampuni kubwa ya magari duniani, soon Toyota hatoona ndani. SpaceX, Starlink, The boring co, Solarcity, Neurolink, Starship.
Mkuu hadi ndege zitawekwa makumbusho.Star ship Zita take over na zitatumia mfumo wa rocket engine huyu jamaa ni shida, but kampuni nyingi zitafanya partnership ndio kusalimika kwao. Hyper loop technology itazipeleka train za umeme makumbusho na kuwa primitive technology, hii ni very soon! Tunahangaika na SGR wenzetu wanahangaika na Hyper loop train.
 
Ok
Maisha ni Vita Ukilemaa Wanaume Wanakuketisha.

Najaribu kukumbuka jinsi Carlos Slim yule m mexico alivyosumbua 2007 - 2010’s saa hivi hata top 10 hayupo.

Wana tufanyeni kazi....Anything is Possible.

Na jinsi 10 - 15 years ago Mark Zuckerberg alikua hata hajulikani saa hivi yumo top 5.

Haijalishi uliosoma nao shule wamekutangulia vp amini every dog has his day.

Piga Kazi.
 
Ndiyo usimlaumu sana magraduate lawama ni serikali zetu
Ideas nyingi za vijana zinakufa kwa kuwa hawapati support
Lakini kungekuwa na sekta kwa ajili ya maswala hayo ya kudeal na gunduzi kwamba unafika unawaeleza maprofesa wenye fani inayoendana na Jambo lako na wakijiridhisha na idea yako wanaandika proposal ufadhili utoke kwa kila unachohitaji kufanikisha jambo lako
Marekani na Ulaya serikali hazitoi pesa Bali matajiri ndio huweka pesa wakitarajia return na muda mwingine hupata hasara iwapo technolojia itakosa mashiko.Mbinu ya pili ni fund rising.Wanasayansi wa kitanzania bado wanamawazo ya kufadhiliwa na serikali.China ndio naiona inatunisha mfuko wa innovation but Ulaya wanajikita kuweka good infrastructure hasa ktk vyuo vikuu na taasisi za utafiti.
Tajiri kama Dangote alitakiwa awe na RD center itajayo push teknolijua na aingie ktk ushindani wa kiteknilojia.
 
Huyo jamaa yeye anaproject kubwa anafaya ya spiceX na pia anatengeneza vifaa mbalimbali vya spice.
Pia jamaa anatengeza gari za kuchaji,wanaziita Tesla Cars.
Vitu vingine jaribu google kaka.
Huyo jamaa yeye anaproject kubwa anafaya ya spiceX na pia anatengeneza vifaa mbalimbali vya spice.
Pia jamaa anatengeza gari za kuchaji,wanaziita Tesla Cars.
Vitu vingine jaribu google kaka.
Wabongo bwana! Siyo Spice ni Space !
 
Huyo jamaa ana bidhaa gani au huduma gani ya kumpa utajiri huo? Wateja wake in kina nani? Kama simuamini amini
Tesla ndio mtengenezaji nambari moja wa magari ya umeme. Zingatia 2030 magari yote ya petroli/diseli marafuku ulaya. Angalizo kwa serikali za waswahili pandisha maradufu ushuru wa magari kuzuia nchi zetu kubadilishawa kaburi la magari ya petroli/diseli siku siyo nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom