Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
tukielekea kwenye kampeni za jimboni arumeru mashariki,kuna taarifa za kikao cha siri kilichofanyika leo kati ya mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema bw joshua nassari,kampeni manager wa chadema ndugu vicent nyerere na viongozi wa polisi akiwemo kamanda wa operashion DCP issaya Mngulu.bado info hazijanifikia kuhusu nini kiliongelewa huko.naendelea kufuatilia..........stay tuned!