Elimu ya Mnyika

Status
Not open for further replies.
Dhaifu ana kipaji cha kuhudhuria misiba Uraisi kadandia tu ndio maana anapwaya. Akimaliza Uraisi atafungua mochwari ya binafsi pale kibaha na huduma za mazishi kwa bei rahisi kwa watu wasio na uwezo. Mpaka sasa atakua amepata uzoefu wa kutosha na atapata wateja lukuki.
hahaha
 
Hapa mkuu umedanganya " form six ana division three, point 15, alikuwa anasoma mlimani BBA kuanzia mwaka 2002, ila sina uhakika kama alimaliza. Pia tambaza kulikuwa na division one 29 tu kati ya 480 waliomaliza mwaka 2001, mnyika alikuwa anasoma EGM, akitokea Maua Seminary, akiwa na div 1 point 7 A-9, alikuja pale baada ya maua kumfanyia faulu ya kutokupeleka form zake wizarani hivyo hakuchaguliwa, kujiunga kidato cha tano, kwasababu maua walitaka arudi kule, ila sasa, ikatokea kuwa mnyika hakuwa anataka kurudi maua, tatizo tambaza ilikuwa ni kama kuku wa kienyeji, naye alitoka mahali ambapo watu wanafugwa kama kuku wa kisasa, ndo akapata div three, kwakuwa wakati ule ilikuwa ngumu kwa mtu aliyepata div 3 kuchaguliwa kuingia chuo then ilbidi asome masomo ya jioni pale UDSM - BBA, ambayo sikufuatilia kama alimaliza au la.

Angalau uko detailed mkuu.
 
Kwa mtazamo wangu ninaona kama kulikuwa na ugomvi kati ya Juliana Shonza , Mwambapa na John Mnyika.Hainiingii akilini siku ya kwanza kuingia CCM Shonza alianza kebehi dhidi ya Myika,sielewe labda elimu yangu ni ndogo.
Elimu ya Mnyika na ubunge wake vinaingilianaje?

Hiyo ndo siasa.
 
point 15 ni sawa na e tatu.

ilikuwaje maua a tisa lakini tambaza akaruka kutoka a mpaka e. mtu mwenye uwezo wa shule hata akijisomea mwenyewe nyumbani hawezi kupata e.

maua walikuwa wanaibiwa mitihani nini.

mnyika weka cv yako halali bungeni.

Kwani hujui siri ya ufaulu wa hizo seminari? Wanatafuniwa kila kitu na kupewa wameze. Hata vyuoni wanachemsha sana kwa kuwa huko hakuna kutafuniwa.
 
Hapa mkuu umedanganya " form six ana division three, point 15, alikuwa anasoma mlimani BBA kuanzia mwaka 2002, ila sina uhakika kama alimaliza. Pia tambaza kulikuwa na division one 29 tu kati ya 480 waliomaliza mwaka 2001, mnyika alikuwa anasoma EGM, akitokea Maua Seminary, akiwa na div 1 point 7 A-9, alikuja pale baada ya maua kumfanyia faulu ya kutokupeleka form zake wizarani hivyo hakuchaguliwa, kujiunga kidato cha tano, kwasababu maua walitaka arudi kule, ila sasa, ikatokea kuwa mnyika hakuwa anataka kurudi maua, tatizo tambaza ilikuwa ni kama kuku wa kienyeji, naye alitoka mahali ambapo watu wanafugwa kama kuku wa kisasa, ndo akapata div three, kwakuwa wakati ule ilikuwa ngumu kwa mtu aliyepata div 3 kuchaguliwa kuingia chuo then ilbidi asome masomo ya jioni pale UDSM - BBA, ambayo sikufuatilia kama alimaliza au la.

Kama hakuwa miongoni mwa waliochaguliwa, ilikuwaje akapata nafasi Tambaza? Hii inamaanisha kuwa hata Tambaza aliingia KIMAGUMASHI. Makubwa haya jamani?
 
Samahani wapendwa, naona kama kuna harufu ya vita binafsi kwa hawa ndugu wanaozungumzia jambo hili. Sipendi kwenda huko lakini kwa maneno machache tuu nijaribu kuangalia kati ya wasomi wenye shahada nyingi na wasio nazo waliowahi kuongoza vizuri nchi.

Namkumbuka Lyatonga Mrema sijui kama alikuwa na shahada alipoongoza wizara fulani na nikimlinganisha na aliepo leo kwenye wizara husika sijui mnapembuaje mnapozungumzia shahada zenu! Nadhani labda niite tuu karatasi mnazopewa mkikaa pale mlimani kwa muda fulani.

Sitaki kuamini kwamba kila aliyepita pale kawekeza kichwani !! Kuna wengine aibu hata kuwatambulisha kitaaluma " kuna mkuu wa wilaya fulani huko tanga aliziita degree za ch...". Hii ni kutofautisha nini kinakutambulisha kama umekaa pale ukatoka na nini kichwani.

Kuna wengine wanaitwa madoctor huku lakini kiwango chao cha maamuzi na upembuzi wa mambo bora wangeishia form two. Mifano mnayo ya kutosha. Kila anayesoma hapa anamjua mmoja au wawili ama kadhaa katika hili.

Hebu tuangalie hoja ya maji ubungo,Mnyika ni mbunge wa ngapi tangu uhuru?

Wakati mnaomba kura za uraisi mlisemaje? Ile meli kule mwanza imeshalowekwa ziwani?

Kigoma imeshakuwa dubai?

Hivi hichokitu walichoshindwa kukifanya sisiem kwa miaka 52 huyu Mwampamba na Juliana ndiyo wataweza?

Hata kama watanzania ni wajinga sana lakini tunaangalia kabla ya mkutano nilikuja na nini kichwani na baada ya mkutano naondoka na nini?

Itafika mahali hamtapewa nafasi kuzungumza matusi, mwulizeni nchemba kule igunga watu waliondoka. Hamzungumzi hoja mnaongea mambo ya chupini. Hayabadilishi maisha ya kesho.

Kina Nape walizunguka nchi nzima wakiimba ufisadi hebu leteni mrejesho! Wapo wapi. Nyie mtazunguka mkiimba nini habari itakuwa kiporo hiyo.[/QUOTE
Kilicholeta maisha magumu kwa Watanzania siyo elimu ya Mnyika bali ni CCM na serikali yake ambayo imesheheni toka vilaza mpaka maproffessor DRs.
 
Ama kweli ukiishiwa sera utatapatapa sana,uongozi siyo elimu bali ni talanta bhana,dogo ana akili naturaly na talent pia
 
Kwani hujui siri ya ufaulu wa hizo seminari? Wanatafuniwa kila kitu na kupewa wameze. Hata vyuoni wanachemsha sana kwa kuwa huko hakuna kutafuniwa.

wewe! ukitaka kusema hivyo, angalia uliposimama uko na nani? Unawafahamu waliopitia Maua? Uliza uambiwe! Ni vichwa hadi leo, Form 4 ya kwanza pale ilikuwa 1973 na wengi bado kustaafu na ni vichwa kikwelikweli! Au unataka majina....
Siri ni moja tu pale, nidhamu! na ndani ya nidhamu ORA ET LABORA, yaani kazi na sala na sio sala na bunduki(uninja)!
 
Amani iwe kwenu.

Nimeamua nimtolee uvivu kijana wangu John Mnyika (Mb) wa Kibamba arudi chuo kuchukua shahada ambayo alidosco UDSM mwaka 2004.Alishawahi kutoa vijisababu vingi ikiwemo kutingwa na shughuli,uonevu wa wahadhiri nk.

Nampa wito arudi shuleni kwa sasa kuna fursa nyingi ikiwemo Chuo kikuu huria ambapo ataweza kusoma huku akifanya shughuli zake.

Lucas Malema (35) ni mwenyekiti wa EFF huko Afrika Kusini kabla ya hapo alikuwa mwenyekiti wa ANC youth league ambapo aliondoka na kuanzisha chama cha upinzani lakini aliendelea kusoma na kumaliza masomo yake ya BA PS kutoka University of SA,ikumbukwe Malema ana kesi lukuki,ni Commander in Chief wa EFF ,Mbunge na baba wa familia hivyo Mnyika wacha visingizio wewe hata ofisini kwa sasa umetengwa kiaina.

Mnyika hutumia hadi kurasa tano kuelezea jinsi alivyoshindwa kuhitimu sababu kubwa ikiwa ni kushindwa kufanya mitihani na "course work"..ni chuo gani duniani wanaweza kuvumilia mpuuzi asiyefanya mitihani halafu wampe "Associate degree"...Ikumbukwe tu wakati Mnyika anadisco hakuwa na wadhifa wowote wa juu chadema na hakuwa Mbunge.

Nakushauri Mnyika urudi shuleni ili kuepuka sababu tunazomkinga nazo Mbowe kwa sasa kama KUB mara "tajiri","amekitoa chama mbali" nk.

Nategemea watetezi wa sera ya "elimu,elimu,elimu" ndio watakuwa wa kwanza kusema "elimu si muhimu".....!


Nawasilisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom