mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
hahahaDhaifu ana kipaji cha kuhudhuria misiba Uraisi kadandia tu ndio maana anapwaya. Akimaliza Uraisi atafungua mochwari ya binafsi pale kibaha na huduma za mazishi kwa bei rahisi kwa watu wasio na uwezo. Mpaka sasa atakua amepata uzoefu wa kutosha na atapata wateja lukuki.