Mkuu Kaka Kiza Asante sana kwa Maswali yako yote ilikuwa uwe wewe wa Kwanza kueleza hisia zako ndipo na sisi tufuatie kueleza hisia zetu. Kwa Ufupi mimi huwa natumia muda mwingi kwenye kwenye Hapa J.F. Haswa kusoma habri za watu waliondika humu kwenye jukwaa la Dini na imani, jukwaa la Siasa, jukwaa la J.F Doctor,jukwaa la Jamii Photos, Jukwaa la Technolgy & Science Forum, na jukwaa la JF Store Enjoy This! hayo Majukwa ndio yanayonivutia sana nikiwa kwenye Computer yangu na jukwaa lingine lakini silo la hapo J.F. ni Jukwa laKwanini unatumia mda wako mwingi kuwa katika JF??Nakama unaona mda mwingi unautumia katika JF nini kifanyike ili uweze kufurahia JF?
Je unadhani nijukwaa lipi malidhawa kwako??
Tafadhali tuheshimiane..sio kila mtu anamaind hayo mambo yenu!!Nwyz kama hukunisoma vizuri ni hivii malidhawa sina ila ukitaka maridhawa ntakutajia!Mbona nakukutaga jukwaa la mambo yakikubwa??au unakuwa unapita tu!!
[/QUOTE]Lizzy unasikitika nini?[QUOTE=Lizzy;1501259]Hamna jukwaa malidhawa kwangu!!
[/QUOTE]Utafikiria ni mimi vile nawazwa ujue Safari si kifo.
Namkumbuka mpenzi!Sijui lini atarudi toka safarini!