msabato masalia
Senior Member
- Dec 3, 2008
- 118
- 20
Kama vile FBI na CIA wkatavyo dili na waarifu na kuwapa witness protections,jamaa anakata dili na CDM,then linakuja bonge la katiba ambalo litaondoa ufalme. Unakuja kuwa Prezidaa kwenye nchi isiyokuwa na chogi tena. JK anatengenezewa immunity(kama rais wa Yemen):crutch:,then EL kishwa habari yake,anabaki kuwa prezidaa wa ving'ora tu( kama hata uprezidaa akiupata in case tunapata tume huru,mwema,mwamunyange,CAG, mwamyika .et al wanapitishwa na bunge).
EL umemwaga ugali,uendapo kwenye masinagogi kutoa misaada,omba tu JK asimwage ugali.
EL umemwaga ugali,uendapo kwenye masinagogi kutoa misaada,omba tu JK asimwage ugali.