Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,790
Wewe kila kitu unawaza kufungianimesoma hiyo makala ya eddo nikabaki nashangaa,hivi mamlaka husika hazilioni hili gazeti wakalifungia?yani serikali ya mkoa inatumia pesa nyingi kuwashawishi investors kuwekeza mkoa wa mara huku kuna mataahira mengine yanahamasisha watu wasiende mara!
kumbe yule jamaa kichwani empty kabisa.
Mbona Tanzanite halijafungiwa?