Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Yule mchambuzi wa habari za michezo kupitia gazeti la Mwanaspoti ndugu Edo Kumwembe ameandika kupitia ukuta wake wa Facebook kuhusu mazungumzo yake na Mungu ameandika hivi ".....Na katika hukumu yangu Mungu ataniuliza 'Edo nakushtaki kwa kosa la kuwaita Watanzania wenzako wapumbavu, nipe ushahidi'....nitatabasamu kisha nitamjibu 'nilijua hilo siku ulipowapa wengi wao pumzi za kutengeneza katiba yao ambayo ni mwongozo mkuu wa maisha yao ya kidunia baada ya vile vitabu vyako. Wao wakaleta ushabiki wa Simba na Yanga'....Mungu ataniambia kwa upole 'basi kama utaingia motoni nitakupeleka kwa makosa mengine sio hili'.....nitatabasamu na kusubiri mashtaka mengine....."
Karibuni wakuu.
Karibuni wakuu.