Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,738
- 14,637
Umegeuka tena?the world has turned around hahahaa
Niliwatetea kwa wizi uliowatia hatiani? Acha kupindisha maneno hata siku moja siwezi kutetea mwizi kama wameiba wanastahili kukamatwa na wasipewe dhamana.