kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
Mkuu unaona mbali sana.
Jamaa anapigwa vibaya sana. HRC anaweza kushinda pia Texas na Arizona ambayo ni maeneo ya kujidai ya GOP kwa miaka mingi sana. Pia HRC anaweza kuwa mgombea wa kwanza toka democrats kupata kura nyingi toka kwa Republicans.