EAC ALERT: 15 % of Kenyans are Gay!!

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,018
..wanasema wamefanya utafiti.

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay.

..angekuwa kijana I would have understood, but haiyumkiniki Mzee wa miaka 65 unavaa hereni.

..sasa na jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha.
 
..wanasema wamefanya utafiti.

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay.

..angekuwa kijana I would have understood, but haiyumkiniki Mzee wa miaka 65 unavaa hereni.

..sasa na jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha.

Ngoja nikachome ndizi nna njaa nitarudi......
 
Gays in Africa a very closed. How do you survey and come up with figures of gay people in Kenya? Would like to know the technic they used to get this data.
 
wanasema wamefanya utafitivi - Tanzania wamefanya utafiti? wako wangapi? binafsi ningefurahi sana kama ungeweka research results za Tanzania hapa jamvini, including bi-sexuals. You will be shocked! Huu ukanda wa Pwani umechangamka kuliko wengi tunavyodhani. Wapo wanaume wanaotembea na wanaume wengine mchana na usiku wanarudi kwa wake zao just to fit the status quo!

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay - wanaume wa kimasai wanavaa hereni - nao wanaonekana gay? Plus Willy Mutunga the new chief justice amesema kabisa mbele ya kamati ya bunge, he's not gay.

jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha - kwa hiyo unaamini Tanzania ina watu wengi gay? Kama jibu ndio, huu ubaguzi wa 'wao' dhidi ya 'sisi' ni wa nini hasa when infact tuna wanajamii wa mlengo huo.
 
Mimi nafikiri hii sio story ya kutustua kwakuwa ugay hauambukizwi usihofu kwamba utakuwa gay cha msingi ni wewe kwenda na uhalisia wa mambo kama ndivyo ulivyo la sivyo ugay utakukumba tu hata bila wa Kenya kuwepo
 
Are there underlaying reason for one being gay? Hili linataka utafiti zaidi..Hii misimamo mikali haina tija .Kumbuka kanisa limewahi kumhukumu kifo mwanasayansi copernicus alipovumbua tena kwa usahihi kabisa kwamba jua na siyo dunia ndiyo center of universe. We should get our priorities right/ fight ufisadi na nguvu zote.
 
FJM,

..kwa uelewa wangu, Wamasai, Wagogo, etc wanatoboa masikio lakini hawavai hereni ndogo-ndogo kama anayovaa CJ wa Kenya. pia Wamasai hawatoboi masikio kwa mtindo huu wa CJ Mutunga.

..uvaaji hereni wa CJ Mutunga unaendana zaidi na vijana wa kizazi kipya na gays. sasa kwasababu yeye ni Mzee mwenzetu, tena wa miaka 65, ndiyo maana nikasema anaangukia ktk kundi hilo la pili.

..hata yule Govenor wa New Jersey alikuwa anakana kwamba na gay. Hata Askofu wa Episcopal alikuwa anakana kwamba ni gay. hawa huwa wanakana kwanza halafu wakishapata kile wanachokitaka[most of the time vyeo] ndiyo wanajilipua kwa kutangaza madudu yao.
 
..wanasema wamefanya utafiti.

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay.

..angekuwa kijana I would have understood, but haiyumkiniki Mzee wa miaka 65 unavaa hereni.

..sasa na jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha.

Source????
 
Vuvuzela,

..source zangu ni debate za bunge la Kenya, pamoja na maelezo ya Nancy Baraza Deputy CJ wa Kenya aliyechaguliwa hivi karibuni.

..this info' is on the internet unaweza uka-search kujiridhisha.
 
Vuvuzela,..source zangu ni debate za bunge la Kenya, pamoja na maelezo ya Nancy Baraza Deputy CJ wa Kenya aliyechaguliwa hivi karibuni...this info' is on the internet unaweza uka-search kujiridhisha.[/QUOTEtmbunge wa kuteuliwa Bi Mille Odhiambo ndio alotowa statistics hizi hadi kusabisha spika kumtimua jengoni wiki mbili.
 
Gays in Africa a very closed. How do you survey and come up with figures of gay people in Kenya? Would like to know the technic they used to get this data.

A good challenge. How did they get to know in such great details? The figures may have been cooked up. Kwa hiyo wanazungumzia zaidi ya wakenya milioni 5? Hakuna uhalisia hapa!
 
..wanasema wamefanya utafiti.

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay.

..angekuwa kijana I would have understood, but haiyumkiniki Mzee wa miaka 65 unavaa hereni.

..sasa na jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha.
Hivi huoni ukakasi kuongelea jambo la kishenzi namna hii.It seems you are also gay,kwa hiyo unachofanya ni kuji-comfort kwamba you are not alone.
 
..wanasema wamefanya utafiti.

..hata yule Chief Justice mvaa hereni waliyemchagua anaonekana ni gay.

..angekuwa kijana I would have understood, but haiyumkiniki Mzee wa miaka 65 unavaa hereni.

..sasa na jinsi hawa jamaa wanavyopenda wa-Tanzania tufanye vile wanavyotaka wao sijui itakuwaje na hili lijumuiya wanalotulazimisha.
Mkuu wangu unashangaa kipi hali swala hili leo hii linakubalika karibu dunia nzima kinyume cha mafundisho ya dini wanazoabudu..

Hutakiwi kuwachukia bali unatakiwa kuwapongeza ni gay pride nasikia hadi wamasai na wajaluo nao wamo!
Wala usiulize tutafanya nini, umeshasema mashoga, ndio itabidi kuwahemea migongoni..(ashakum si matusi)
 
Mnashangaa nini wakati Smatta aliwekwa kimada muda mrefu tu huku Tanzania?
 
Vuvuzela,..source zangu ni debate za bunge la Kenya, pamoja na maelezo ya Nancy Baraza Deputy CJ wa Kenya aliyechaguliwa hivi karibuni...this info' is on the internet unaweza uka-search kujiridhisha.[/QUOTEtmbunge wa kuteuliwa Bi Mille Odhiambo ndio alotowa statistics hizi hadi kusabisha spika kumtimua jengoni wiki mbili.

labda 15% ya Mombasa
 
Back
Top Bottom