Hii si busara...huwezi kukejeli maumbile ya mtu..labda utujuze mbinu uliyotumia hadi ukaumbwa hivyo ulivyo. Suala la kuoa/kuolewa ni binafsi sana kwani kila mmoja ana sababu zake. Kama ulioa/uliolewa kwasababu wengine wanafanya hivyo basi utakuwa mpumbavumimeno imetoka utafikiri anakula watu? utafikiri yule mmama aliyeenda Beijing kwenye mkutano (akitokea tz) akabeba na condom kwenye kipimajoto chake...Ivi alikuwa nani vile?....mwanamke yeyote hata kama amefanikiwa vipi, kama haishi na mume, heshima yake ni sifuri...unaonekana malaya tu. however, kwa wale ambao hawajapenda kuishi hivyo, nawapo moyo, na heshima..
Hivi hayo ni mapengo au she happened to have mianya mingi!!?
Mianya gani utadhani magoli ya kiwanja cha mpira? Kama humjui huyo ndiyo bi kiroboto mteule wa mafisadi.Hivi hayo ni mapengo au she happened to have mianya mingi!!?
kumbe lile ni wigi eeenh! basi swagger zake kalikatoa wigi?!!!
mimeno imetoka utafikiri anakula watu? utafikiri yule mmama aliyeenda Beijing kwenye mkutano (akitokea tz) akabeba na condom kwenye kipimajoto chake...Ivi alikuwa nani vile?....mwanamke yeyote hata kama amefanikiwa vipi, kama haishi na mume, heshima yake ni sifuri...unaonekana malaya tu. however, kwa wale ambao hawajapenda kuishi hivyo, nawapo moyo, na heshima..
Tuwekee picha ya mama yako tuifanyie analysis.