Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,724
- 5,759
Yaani mdada kama Poshqueen ni mtu wa ku fall in love na mwanaume, hahaaaaa tena mwanaume mwenyewe Harmonize.😂
Baadhi ya wanawake (wengi wenu) mmetisha, mkiona mwanaume ana hela, mnajua kuigiza mmempenda kuliko waigiza filamu wa Hollywood, nje mnaonesha mnampenda kumbe moyoni mko tofauti, mnawaza maokoto.
Nimpe kongole harmonize kwa kula ule mzigo wa poshqueen, ila naamini hata harmonize mwenyewe kimoyo moyo anajua na kuwaza hapa kiuhalisia sipendwi, naigiziwa tu, ni hela zimemleta huyu mdada
cocastic huenda akawa na la kuongezea
Baadhi ya wanawake (wengi wenu) mmetisha, mkiona mwanaume ana hela, mnajua kuigiza mmempenda kuliko waigiza filamu wa Hollywood, nje mnaonesha mnampenda kumbe moyoni mko tofauti, mnawaza maokoto.
Nimpe kongole harmonize kwa kula ule mzigo wa poshqueen, ila naamini hata harmonize mwenyewe kimoyo moyo anajua na kuwaza hapa kiuhalisia sipendwi, naigiziwa tu, ni hela zimemleta huyu mdada
cocastic huenda akawa na la kuongezea