RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Habarini wanajamii.
Mi ni kijana ambaye nina wazo la kuanzisha Duka la Movie hapo baadae miez miwil ijayo.. Movie za Kibongo Na Nje.
Nipo mahali pazur kuna wingi wa watu na kuhusu sehemu ya Kuuzia ipo tayari.
Sasa ninataka kujua kwa wale ambao wameshafanya biashara hii au wenye mawazo pia kuhusu hili wanisaidie. Je! Challenge gani unaweza kukutana nazo na Faida pia ikoje.
Asanteni, nakaribisha mawazo yenu.
Mi ni kijana ambaye nina wazo la kuanzisha Duka la Movie hapo baadae miez miwil ijayo.. Movie za Kibongo Na Nje.
Nipo mahali pazur kuna wingi wa watu na kuhusu sehemu ya Kuuzia ipo tayari.
Sasa ninataka kujua kwa wale ambao wameshafanya biashara hii au wenye mawazo pia kuhusu hili wanisaidie. Je! Challenge gani unaweza kukutana nazo na Faida pia ikoje.
Asanteni, nakaribisha mawazo yenu.