huo ushikaji wa mikono na hicho kicheko cha huyo Jenerali...
mbona huo mdomo ameupanua kishangingi halafu anaangalia penye dush... au anaitamani.
MH....hili pozi la huyu mjeda wa kulia limeniacha na maswali kama buku hivi.............
hivi kwanini wanawake wengi wa jeshi la polisi ni wanene...mijimama?
Huyu jamaa hata wajeshi, tena maJenerali....anawashika mikono kama wale wanamipasho wa CCM wanaojipendekeza kupata uBunge wa 'vitanda' maalum! hii sio heshima ya kiJeshi, ukizingatia naye ni mjeshi!
mtotowamjini unataka wembamba kwani wanagombea umiss Tanzania.
una maana hao wamewezeshwa?
ukiona komenti zaidi ya moja zinafanana ujue kuna kaukweli kidogo.japo sio lazima.Mkuu Kituko mbona mnapenda kuwadhalilisha wanawake angekuwa mwanaume msingesema.
Heshima kwa kina Mama.
Yaani wachangiaji wote hamkuona kitu kingine zaidi pozi duh mfumo dume umetuharibu.