25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,807
- 3,740
Mimi simtaki mtu anae vurugu mambo jenga hoja basiEndeleeni kuuza Raslimali zaTanganyika kwa raha zenu.
Mimi simtaki mtu anae vurugu mambo jenga hoja basiEndeleeni kuuza Raslimali zaTanganyika kwa raha zenu.
Na amejtahidi kuuweka uwazi lakini hofu tu ya baadhi ya watu muhimu kuboresha vipengele vyenye utata.
Kuna watu walikuwa na hofu kama hii wakati hayati Mkapa alivyoleta FDI za SA lakini nyingi zinafanya vizuri mpaka leo
Kalishwa ujingaSawa tumekusikia. Wale wa zamani wenzangu watakumbuka tulisikia hayo ya mapoyoyo wakisema bchi wanauziwa makaburu. Akiambiwa Mkapa anauza nchi. Mboa bado ipo mopaka keo...
Dawa yake mpinge kwa hoja kama huna kuwa msomaji kama mmKulipoibuka tu sakata la Bandari na wewe ukaibuka, Je, wewe ndo wale mliopanda bombadia na kuwa mmoja wao waliopokea 6 M?
Aisee.Nawashangaa sana Tanzania chamber of Commerce na BET ambao ndiyo wanashughulikia mambo ya biashara baina ya Tanzania na nchi za nje...
Kuhusu mikataba ya nchi na nchi ya kuzingatiaSamia Suluhu
Hayo unayasema wewe kwa kuwa umejazwa ujinga.Kuhusu mikataba ya nchi na nchi ya kuzingatia
1. Iwe na faida kwa nchi zote
2. Ilinde rasilimali za nchi kwa faida ya vizazi vijavyo
3. Isiwe kwa sababu viongozi wamepewa tender na halua na kufifisha kuona kwao mbele
Taifa letu limeuzwa kizembe...alafu tuna Jeshi....aibu gani hii!!!Mama alisaini mikataba zaidi ya 36 mwezi wa pili mwaka huu kule Dubai.View attachment 2728901
Na baada ya kusaini kule Dubai mazungumzo mengine yalifuatia baada ya ujumbe mzito kuwasili Dodoma na kufanya mazungumzo ya kina na pia kusainiwa...
Jeshi lenyewe hili la wenye vitambi mixer CCMTaifa letu limeuzwa kizembe...alafu tuna Jeshi....aibu gani hii!!!
Masikitiko kwako wewe wenzako wanafurahia hayoNi masikitiko makubwa mno, ni aibu, na ni hasara