bongo hawatambui dual citizenship!
Hivi hili suala la dual citizenship limefikia wapi huko nyumbani? Mwenye habari kuhusu hili suala tafadhali tujuliane maendeleo kuhusu hili jambo.
Rudi nyumbani uwasaidie watanzania wenzako,uraia wa nchi mbili kwangu ni upuuzi mtupu,tutaiga wazungu kila kitu? wao wanafanya hivyo ili wapate nafasi ya kuhujumu.
Rudi nyumbani uwasaidie watanzania wenzako,uraia wa nchi mbili kwangu ni upuuzi mtupu,tutaiga wazungu kila kitu? wao wanafanya hivyo ili wapate nafasi ya kuhujumu.
Rudi nyumbani uwasaidie watanzania wenzako,uraia wa nchi mbili kwangu ni upuuzi mtupu,tutaiga wazungu kila kitu? wao wanafanya hivyo ili wapate nafasi ya kuhujumu.
safi sana mkuu, umenikuna mpaka natoka unga. itabidi nikugongee thanks.
mtu mzima hataki kurudi nyumbani anabangaiza apate uraia wa nchi nyoingine utadhani hana nchi yake. hawa ndio wanaotutia aibu huku ng'ambo. nikipata nafasi ya maamuzi siku moja msahau kabisa huyo punda anayeitwa uraia wa nchi mbili.
mi niko ng'ambo kwa sasa naingia na kutoka karibu kila nchi ninayotaka bila matatizo ya kunyimwa au kucheleweshewa viza na nina uhakika wa kuendelea kukaa huku niliko (kama nitataka) ng'ambo kwa muda wote nitakaopenda. lakini uraia wa nchi tofauti na tanzania hata ukiniletea bure kwenye karai sichukui. upuuuzi mtupu.
nimetembea sana dunia sijaona nchi nzuri kama tanzania! jamani watanzania turudi nyumbani tujenge nchi yetu, sio mkae huku mkiuliza tanzania imewafanyia nini mje kula.
mimi narudi februari mwakani.
jamani kila anyetaka kurudi aandike hapa anarudi lini sio huu upuuzi wa dual citizenship!.
Na wewe unaonekana ni walewale ambao WAMESOMA ila HAWAJAELIMIKA.
Hamna kingine zaidi ya ROHO KOROSHO. Na nikichunguza sana nafikiri au unaandika ukiwa TANZANIA na ukweli ni kuwa wewe pia ni roho korosho au unaandika wakati TAYARI ULISHAMLIPUA MSOMALI. Nyie ndiyo watu ambao mafanikio yenu yamekuja kwa shida sana na mnataka wote wasote kama nyie. Masikini wa roho YARABI.
Hadi wakakupa VIZA za kuingia na kutoka EUROPE nzima si ulisota sana. Pia kila ikiisha inabidi uende kuomba. Unalipia shule, matibabu na takataka nyingine kwa wingi zaidi ya ungelikuwa raia wa pale. Na nafikiri utakuwa unaishi peke yako maana ungelikuwa na familia ndiyo ungelielewa umuhimu wa kuwa RAIA ya nchi unayoishi.
Na wewe unaonekana utakuwa ni mtu MBINAFSI SANA. Kama wewe umeshiba basi wengine wote wanaweza kufa njaa. Sasa ulisubiri nini kurudi miaka yote hiyo hadi MKATABA wako unakwisha na ndiyo unajifanya UNAIPENDA sana Tanzania na unarudi february na siyo mwaka juzi?
Kuna wengine wanakuja wakiwa watoto kwa sababu tu wazazi wao wamehamia huko. Ila wao milele wanataka kuwa Watz na kusadia kule. Nina mshikaji wangu yuko UK huwa akija Tanzania ananisimulia jinsi wanavyomtumia kuandikisha mikataba ya UJENZI. Nikiangalia MIKATABA mibovu inayoandikwa hapa kwetu Tz, huwa natamani nimuombe awafundishe watu wa madini, Tanroads, wizara ya ... nk kuwa ni vitu gani wawe macho wakati wanafanya mikataba.
Na wewe unaonekana ni walewale ambao WAMESOMA ila HAWAJAELIMIKA.
Hamna kingine zaidi ya ROHO KOROSHO. Na nikichunguza sana nafikiri au unaandika ukiwa TANZANIA na ukweli ni kuwa wewe pia ni roho korosho au unaandika wakati TAYARI ULISHAMLIPUA MSOMALI. Nyie ndiyo watu ambao mafanikio yenu yamekuja kwa shida sana na mnataka wote wasote kama nyie. Masikini wa roho YARABI.
Hakuna tishio la usalama wowote ule. Kenya, Uganda na Rwanda wameruhusu DC na mpaka sasa hivi hakuna tishio lolote la usalama lililotokea dhidi ya nchi hizo..........
Acha roho korosho, LOOSER.
Ukisoma maneno ya Membe ni kuwa Mzaliwa wa Tanzania na abaki kuwa Mtanzania. Hii inaweza kuwa ni kama One direction Valve. Mgeni hawezi kuchukua uraia wa nchi mbili ila Mtanzania MILELE ABAKI MTANZANIA.
Wahindi wanayo hiyo. Wajapan nao wana hilo saaana. Wewe hata uowe Mjapan hawakupi URAIA na hutoa kwa nadra sana uraia wao. Ila Mjapan hata awe raia wa nchi gani au hata Rais (Fujimori wa Peru) akirudi kwao ni MJAPAN.
Wakati mwingine inaweza kuwa kutoa HATI au KADI YA KUZALIWA. Hii inaweza kuwa inatumika mipakani kuingilia nchini Tanzania. Hivyo inaweza kuwa mtu ana PASS ya UK, ila ana HATI YA KUZALIWA YA TANZANIA. Akiwa nchi yeyote duniani na awe M-UK. Ila akirudi Tanzania, anakuwa MTANZANIA wa kuzaliwa.
Kuna njia nyingi sana zinaweza kutumika kuwapa faida wazawa bila ya kuwaruhusu wakuja.
Sasa wewe usiyeona faida, unajianika jinsi UPEO wako wa MWAMKO duniani ulivyo. Hao Wazungu kama wanataka kuja Tanzania na kuishi si wanafika na kuowa tu au kuolewa? Mzungu akija Tanzania leo anataka kuowa, si ataowa hata timu mbili za mpira kwa siku moja? Wewe kweli mtu wa kuja. Amka kijana, dunia hii sasa ni KIJIJI. AU unaungana na wenzio kufanya wanavyofanya au UNAKUFA. Yes, kama una wivu, go hang your self.
Mtu huna ahata AIBU. Hapo ulipo umekaa kwenye kiti cha kizungu, meza (neno la Ki-Spanish) ya kizungu, computer ya kizungu, mtandao wa Wazungu, nguo na viatu vya kizungu na bado una bwabwaja kuwa tusiige wazungu. Shame on you. Litanzania linchi kubwa sana. Acha tuchanganye damu labda itasaidia kuongeza asilimia kutoka 30 nakuwa walau 49% ya WASIOFUATA UPEPO anaowasema Kikwete.
Work up kijana. Mzungu kama anataka kuja kuiba basi wala hahitaji kupata URAIA. Atakuja na dola 5 na aondoke na dola milioni 5. Chonya wa Chilonwa wee.....
mgombea ubunge tafazali nyamaza kwani,
Nina hasira kweli na watu kama nyinyi, wewe umeifanyia nini nchi hii leo unasema eti kwenye KAMPENI YANGU hivi bado hilo tumbo ulilokuwa nalo unataka hata kule kwetu Kiwawa na Mbwemkuru tusile machungwa na watu wetu, huko kula kote na bado unataka ubunge kwa lipi utakalofanya zaidi ya kuiba,
Unataka kusema kule Dodoma ma Phd wote wanafanya nini zaidi ya kuwaibia walala hoi, wamesomeshwa kulitumikia Taifa sio kwenda kulala Bungeni, bado tukupe kula hapa Tanzania kweli Tanzania shamba la bibi
Huyu anatoka huko anakuja hapa eti aise nina hasira na wanasiasa kweli
Hivi hili suala la dual citizenship limefikia wapi huko nyumbani? Mwenye habari kuhusu hili suala tafadhali tujuliane maendeleo kuhusu hili jambo.
.......
kweli either way we are fucked
masikini, unaongea kitu usichojua!!!!!!!!!!!!!!!!
nakushauri mpendwa (tena leo ni xmass) tuipende nchi yetu, tukienda ng'ambo kutafuta maisha, tukumbuke kwetu kama anavyotuasa rais wetu, turudi, sio tupiganie uraia wa nchi mbili tubaki hukohuko.
asante mkuu, ubarikiwe na wote waliokuunga mkono