pansophy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 502
- 320
DStv Tanzania mmeamua kutuibia waziwazi au watu wenu wa huduma kwa wateja hawajui wanafanya nini.
Nimewapigia simu kabla sijanunua kifurushi wakanihakikishia ya kuwa ntapata kifurushi cha juu yake badala yake wakaanza kuleta stori ya kuwa kifurushi kilikuwa upgrade kutoka January.
Kama kuna mtu mwingine ametapeliwa na ofa hii aseme. Hii ni mara ya pili nakumbana na utapeli huu.
Kitengo cha huduma kwa wateja pamoja utawala wa multichoice Tanzania ujitathmini.
Nimewapigia simu kabla sijanunua kifurushi wakanihakikishia ya kuwa ntapata kifurushi cha juu yake badala yake wakaanza kuleta stori ya kuwa kifurushi kilikuwa upgrade kutoka January.
Kama kuna mtu mwingine ametapeliwa na ofa hii aseme. Hii ni mara ya pili nakumbana na utapeli huu.
Kitengo cha huduma kwa wateja pamoja utawala wa multichoice Tanzania ujitathmini.