you are wrong. So throw another rock at me for saying this. Mwanaume wa ukweli ni yule anaevaa nguo zinazomtosha vizuri, safi na smart zinazomfanya aonekane mtanashati na mwenye kujiamini. Mwanaume wa ukweli goes beyond what he is wearing. Asiwe na midevu na mikucha kama nyau. Asinuke kikwapa wala socks wala anywhere else.
1. Kuvaa suruali za kubana.
2. Kuacha kifua wazi wakati kifua chenyewe ni deprived of flesh or on the other hand swollen with man boobs
3. Cheap jewellery
4. Wearing sneakers with soft cloth trousers. Hii ipo sana Znz halafu wanachomekea suruali kwenye socks. Makes me sick.
5. Not dressing according to age
6. Ugly belts. Those with rasta colours. Or those that don't match with the outfit.
7. Showing underwear
8. Ugly socks
9. Not wearing vests
10. Pot bellied men wearing tight tshirts that go as far as showing the shapes of their navels.
11. Very pointed shoes kama za Abunuwasi
12. Kuvaa misuruali mipana kama kanda Bongoman.
13. Kuvaa jeans zenye blingbling like you have lost your mind
Maybe am just in the mood to diss men. But whats your take on this?
Namba 1 na 12 zinanipa shaka!...kama hutaki za kubana na pia hutaki pana, inamaanisha unataka yenye features zote mbili simultaneously!...then you neither hate any of 1 or 12!
Na hiyo 8, how do Ugly socks look like?...i would understand smelly or ordourous socks, not ugly!
Ha ha ha!!!! Watakuwa wadogo hao.......wanalo leo......
Watu hatuko sawa hapa duniani. Wengi wanavaa 'cheap jewellery' kwa kuwa ndiyo uwezo wao; 'pointed shoes, belts za rangi za rasta, etc.' kwa kuwa ndicho wanachokipenda/chagua; wanachomekea soks kwa sababu ni utamaduni wao, etc. Just appreciate how diverse & wonderful the world is.
Wengi wanapaka Vaseline
how did u know? these arusha people arent welcoming at all full kuogopa mie kugegeda dada zao. dresscode ya mwanaume wa kweli ni suit bwana...cant go wrong there.
Mh wenzangu wanapaka RAYS
madam please spare my ribs!