Sam GM
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 535
- 28
- Thread starter
- #141
Mkuu kuna HOLOCUST kubwa mno inawamaliza wananchi wetu kila siku. Tofauti ni kwamba yenyewe tumeishaikubali kwamba iwepo tuu. Njaa, vita, magonjwa, umaskini nk..mi nadhani hiyo nayo ni holocust au genocide kabisa (ukiita ile ya Rwanda iliyomaliza watu million moja kwamba ni Genocide, je haya niliyoyataja hapa yanamaliza wangapi kwa mwaka?) sema tuu basi..tunaamua kutumia maneno pale tunapotaka ya-fit mawazo yetu. Bush akisema Iran, N Korea na Syria ni axis of evil..sisi tunasema Njaa, magonjwa na umaskini ndo axis of evil wa mwafrika!
Masanja,
Sasa umenena, naona hata hivo vijisent vya safari za ulaya na US kwa rais vingesaidia hata njaa ya wananchi.