Salamaleko.
Sisi ni wana maombi na ktk moja ya kazi zetu nikuliombea taifa sasa akuna kitu kibaya kama kuombea taifa ukijua kiongozi wako anaumwa na ujui anaumwa nini
babu wetu wa lolioondo alitufungulia mlango kwamba Dr. wetu wa ukweli alifika uko na tunambiwa wagonjwa wanakimbilia uko kama njugu
ningeomba mtusaidie kwenye maombi ya leo kwa wanaojua Dr. wa ukweli anaumwa nini tuweze kumweka maombini mungu amnusuru na kaugonjwa hako..maana sukari,presha na nk yamekuwa hatari sana kwa umri kama wake
natanguliza shukran kumbuka maombi ni silaha akuna aliesimama na maombi akataabika
babu wetu wa lolioondo alitufungulia mlango kwamba Dr. wetu wa ukweli alifika uko na tunambiwa wagonjwa wanakimbilia uko kama njugu
ningeomba mtusaidie kwenye maombi ya leo kwa wanaojua Dr. wa ukweli anaumwa nini tuweze kumweka maombini mungu amnusuru na kaugonjwa hako..maana sukari,presha na nk yamekuwa hatari sana kwa umri kama wake
natanguliza shukran kumbuka maombi ni silaha akuna aliesimama na maombi akataabika