kina nani mkuu???Kamuulize Dr Tulia ama jembe Rais wetu..Magufuli..tofauti na hapo huwezi pata majibu humu ng'ooo.....ngoja waje
Dah....inawezekana kwa hali hiiJina la Tulia Magu aliletewa kwenye kikapu leo kakifungua kakuta alichokikuta atafanyaje.
hapo watoto wa mjini wanasema magufuri ameingia choo cha kike
Hivi JK hajamgonga huyu demu!!
Yote ccm ni majambazi tu kama waziri wa viwanda na uchukuzi.waziri wa fedha na wote waliokuwa wizara hiyo walistahili kuojiwa.mpaka leo mnaonea VIPAPA wakati MANYANGUMI yanatesa tu.
swissme
Itajulikana kama alishiriki au hakushiriki,aswa wizi maana unaweza kuwa ujumbe wa board lakini mijitu unafanya YAO wewe haujui, mfano makonteina yanatolewa SAA 8 usiku bandalini wewe kama mjumbe wa board utajuaje? VIKAO haviitwi vya wabunge,utafsnyaje
Mkuu umenichesha kweri,muongo mzima utapita jamaa anapiga propaganda humu.naona umeanza kampeni za 2020 mapema,pole sana maana tena utakua disappointed,utazeeka ukiwa mzee mwenye hudhuni kweli moyoni,kwanini usijiunge na timu ya ushindi mkuu?
Kwikwiiii hao hawezi kuwagusa mkuu yeye ana dili na vidagaa tuu