Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 879
- 4,124
Mkakati waliachana na Dr. Tulia Ackson- umekamilika ambapo wenye chama chao na ambao wakati wa regime iliyopita alitumia madaraka yake kuwaumiza wanaenda naye taratibu kuelekea 2025. Wanafahamu kwamba hatoweza kutoka katika sanduku la kura kwa sababu hakuna anayemkubali kulinganisha na wapinzani wake. Wamempa nafasi na fedha nyingi zakujiandaa lakini hali bado mbaya. Wakina sugu wapo zao kimya wanakula Bata hakuna harakati wanazofanya kwa sababu wanafahamu kwamba uwanja utakuwa mwepesi sana
Baada ya uchaguzi 2025 spika anaweza kubaki nyumbani au kutafuta kazi nyingine isiyo ya kisiasa. Ikumbukwe spika siyo mwanasiasa na hajawahi kupigiwa kura kwenye ulingo wa siasa bali anaishi kwa upeo wa mwanasiasa aliyepo......... Naandika kumsaidia kuishi kwa akili na wanaomzunguka; Ndugai anafahamu vyema hii michezo
Baada ya uchaguzi 2025 spika anaweza kubaki nyumbani au kutafuta kazi nyingine isiyo ya kisiasa. Ikumbukwe spika siyo mwanasiasa na hajawahi kupigiwa kura kwenye ulingo wa siasa bali anaishi kwa upeo wa mwanasiasa aliyepo......... Naandika kumsaidia kuishi kwa akili na wanaomzunguka; Ndugai anafahamu vyema hii michezo