Invisible daftari la wapiga kura linatunyima haki watumiaji simu, umeme Lowasa kakata na PC haina chaji, wezesha upande wa simu pia, please C6 nawe tia mkono wako hapo
dr slaa
1 si mwizi
2 chama chake kinaingia na watu wapya anaweza kuwadhibiti na morali mpya
3 si fisadi
4 hawazi biashara
5 hajahonga mtu
huyu mwingine ananuka rushwa
KURA KWA DR SLAAAAA
Nivizuri kumuona Doctor kabla ujameza dawa, na Taifa langu linasumbuliwa na matati mengi , mara ufisadi, ujangili, mizigo,magamba. Kwa ujumla ni vigumu kumpatia dawa huyu mgonjwa Tanzania bila kupata vipimo na ushauri fasaa toka kwa Doctor.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.