Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Invisible daftari la wapiga kura linatunyima haki watumiaji simu, umeme Lowasa kakata na PC haina chaji, wezesha upande wa simu pia, please C6 nawe tia mkono wako hapo
 
Last edited by a moderator:
Hivi Lowassa anacheo gani
Mg Slaa anatambulika kama doctor halafu Lowassa kama mwizi kwahiyo utambulisho Wao uko hivi,

Dr.Willbroad Peter Slaa

Mwz.Edward Ngoyai Lowassa
The teh teh teh ....tehhhhhhhhhhhhhj
 
dr slaa
1 si mwizi
2 chama chake kinaingia na watu wapya anaweza kuwadhibiti na morali mpya
3 si fisadi
4 hawazi biashara
5 hajahonga mtu
huyu mwingine ananuka rushwa
KURA KWA DR SLAAAAA
 
Hivi Lowassa anacheo gani
Mg Slaa anatambulika kama doctor halafu Lowassa kama mwizi kwahiyo utambulisho Wao uko hivi,

Dr.Willbroad Peter Slaa

Mwz.Edward Ngoyai Lowassa
The teh teh teh ....tehhhhhhhhhhhhhj

ama

Dr.-doctor
Fd.-fisadi

Dr. Wilbroad Slaa
vs
Fd. Edward Lowasa.
 
Nivizuri kumuona Doctor kabla ujameza dawa, na Taifa langu linasumbuliwa na matati mengi , mara ufisadi, ujangili, mizigo,magamba. Kwa ujumla ni vigumu kumpatia dawa huyu mgonjwa Tanzania bila kupata vipimo na ushauri fasaa toka kwa Doctor.

Doctor Slaa Taifa linakuitaji.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom