Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Mleta uzi ni jukumu lako ku summarize hizi kura mara kwa mara ili tuwe tuna picha nzuri
 
Wote wa Kaskazini..! Ritz, Faiza fox hawataki watu wa ukanda huo. Weka mmoja wa kutokea Zanzibar ili na wapate kupiga kura.


Huo ni utaratibu wenu nyie ccm, mpaka sasa ccm hakuna zaidi ya lowasa ndio maana yeye ndie amepambanishwa na dr. wa ukweli
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB:piga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Ni watanzania wangapi wanaotumia jf!!!!

Je idadi ya watumiaji wa jf inatosha kufanya hitimisho la nani mshindi wa urais????

Division v at work.
 
Umeona eeeeeh!!!!!!!!!!!! Dr. Slaa ni chaguo la Mungu alitakiwa kuwa Rais toka 2010 sema tu mafisadi walifisadi ila 2015 wajaribu ujinga wao cha moto watakipata @ Sweetlady
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom