Wote wa Kaskazini..! Ritz, Faiza fox hawataki watu wa ukanda huo. Weka mmoja wa kutokea Zanzibar ili na wapate kupiga kura.
Dr. Slaa hapo pingamizi hakuna. Lowassa anafaa kupambanishwa kwenye mambo ya UFISADI TU.
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.
Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.
NBiga kura bila kuendesha campaign yoyote.
Umeona eeeeeh!!!!!!!!!!!! Dr. Slaa ni chaguo la Mungu alitakiwa kuwa Rais toka 2010 sema tu mafisadi walifisadi ila 2015 wajaribu ujinga wao cha moto watakipata @ Sweetlady