Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Kwa upande wa ccm nataka Lowassa apitishwe kwenye kura zao za maoni huku CDADEMA wakimsimamisha Dr Slaa na Hapo ndipo nitamchagua Dr Slaa ila ikiwa ni kati ya Lowassa CCM Zitto CDM bila shaka kura yangu itaenda kwa Lowassa.
 
!
!
lowasa ana kura yangu.....haki ya Mungu, nitachagua ccm kama lowasa atagombea,kinyume na hapo nitachagua CDM hata wakiweka kivuli
 
Wote wa Kaskazini..! Ritz, Faiza fox hawataki watu wa ukanda huo. Weka mmoja wa kutokea Zanzibar ili na wapate kupiga kura.
 
Wakati gazeti la Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha uraisi kwa mwaka 2015.

Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu ujao.

NB:piga kura bila kuendesha campaign yoyote.

Dr. W. P. Slaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom