Dr Slaa na Zanzibar

Pepombili

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
439
58
Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Yaani muunganiko wa nchi mbili ya Zanzaibar na Tanganyika) katika kupitia habari nyingi kutoka kwenye vyanzo mbali mbali vya habari nimegundua kwamba Dr Slaa pamoja na chama chake cha Chadema huwa siwasikii kuyaongelea sana masuala ya Zanziabar na hata hizo harakati zinazofanyika Tanganyika yaani upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano hazihusishi sana upende wa pili wa Muungano yaani Zanzibar je kwa mtazamo huo, Tunaweza kusema ya kwamba Chadema na uongozi wa Chadema hawana habari na Zanzibar. kwa nini Chadema wasipeleke nguvu zao Zanzibar maana naamini Zanzibar kama upande wa pili wa muungano chadema haijulikani kama vile CCM na CUF.(nao pia wanahitaji kusikia sera zao, kwa nini wanawatenga wanzanzibari)

Naomba kuwasilisha.
 
chadema inaamini katika MFUMO WA SERIKALI TATU.Hakuna tija kwenda Zanzibar.Kutokana na harakati za kudai katiba mpya baada ya muda fupi tutakuwa na serikali tatu ndani ya nchi mbili.Ni wastage of resources kuhangaika na zanzibar wakati hakuna muda muundo wa muungano utabadilika
 
chadema inaamini katika MFUMO WA SERIKALI TATU.Hakuna tija kwenda Zanzibar.Kutokana na harakati za kudai katiba mpya baada ya muda fupi tutakuwa na serikali tatu ndani ya nchi mbili.Ni wastage of resources kuhangaika na zanzibar wakati hakuna muda muundo wa muungano utabadilika

Hata Wazanzibari wengi pia wanataka serikali tatu nadhani kama wakienda Zanziabar wanaweza kupata support zaidi kwa sera yao hio maana ukichunguza kiundani utagundua Wazanziabri wengi ni waelewa wa mabo zaidi kuliko huko bara au Tanganyika maana wengi wa jamii ya wazanzibari ni wasomi kwa mfano wewe angalia mabadiliko ya kisiasa halafu pima na Tanganika ndio utagundua kwamba wazanzibari ni waelewa wakubwa wa mambo kuliko huko bara wanapofanyia harakati zao au hasa maeneo ya pwani ambapo watu wengi wanakuponda ni sehemu yenye mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisiasa kuliko bara sasa mie naona Chadema huko walipoanzia harakati zao wanazidi kuingia chaka maana watu wa huko ni wazito sana kuelewa pimeni naomba upime haya maneno yangu kabla ya kujibu
 
Ukitaka kugundua kuwa wazanzibari ndio waelewa zaidi pima toka ulipoanza uchaguzi wa kwanza mwaka 1995 utagundua kwamba wazanibari ni watu wenye uelwa mkubwa sana na hata hawajalala kama munavyodhania angalieni mapinduzi ya kisisa yalivyotokea zanzibar halafu pimeni na bara hasa bara sio pwani maana hata pwani watu wengi walishaanza kuvichagua vyama vya upinzani kama znz hii inaonesha wazanzibari ni kiio cha watanganyika kuyaendea mapinduzi ya kisiasa na kiuchumi.
 
Usiwe na haraka mkuu,mkakati upo wa kwenda kuokoa watoto yatima,walioachwa na cuf kwa tamaa yao ya madaraka,SUBIRI UONE!
 
Ukitaka kugundua kuwa wazanzibari ndio waelewa zaidi pima toka ulipoanza uchaguzi wa kwanza mwaka 1995 utagundua kwamba wazanibari ni watu wenye uelwa mkubwa sana na hata hawajalala kama munavyodhania angalieni mapinduzi ya kisisa yalivyotokea zanzibar halafu pimeni na bara hasa bara sio pwani maana hata pwani watu wengi walishaanza kuvichagua vyama vya upinzani kama znz hii inaonesha wazanzibari ni kiio cha watanganyika kuyaendea mapinduzi ya kisiasa na kiuchumi.
Yakhe tuna historia tofauti.Zanzibar mna dini moja na tamaduni moja hilo ni jambo zuri.Ila,kuna watwana(wamakonde,nyamwezi,shiraz)halafu kuna waarabu wa pemba(oman).CUF ni PEMBA PEOPLES PARTY ambayo haifuati sheria ya muingereza bali wanyamwezi ambao wana uhusiano wa damu sio wa kirafiki na watwana wa huko!CCM huko ni sawa na AFRO tu yakhe! imebidi mkubali tu kushindwa vibaraka wenu huku bara hawana la maana!
Kwa hiyo ndio hivyo yakhe mambo ya kojani huku bongo hayalipi,kajiungeni nawangazija au kwa blaza bashir!
 
Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Yaani muunganiko wa nchi mbili ya Zanzaibar na Tanganyika) katika kupitia habari nyingi kutoka kwenye vyanzo mbali mbali vya habari nimegundua kwamba Dr Slaa pamoja na chama chake cha Chadema huwa siwasikii kuyaongelea sana masuala ya Zanziabar na hata hizo harakati zinazofanyika Tanganyika yaani upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano hazihusishi sana upende wa pili wa Muungano yaani Zanzibar je kwa mtazamo huo, Tunaweza kusema ya kwamba Chadema na uongozi wa Chadema hawana habari na Zanzibar. kwa nini Chadema wasipeleke nguvu zao Zanzibar maana naamini Zanzibar kama upande wa pili wa muungano chadema haijulikani kama vile CCM na CUF.(nao pia wanahitaji kusikia sera zao, kwa nini wanawatenga wanzanzibari)

Naomba kuwasilisha.

Zanzibar tayari kuna Seif wa CUF hakuna haja ya CDM kuizungumzia sana, kwani wanaiamini sana CUF ingawaje siku hizi haina tofauti na CCM.
 
Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Yaani muunganiko wa nchi mbili ya Zanzaibar na Tanganyika) katika kupitia habari nyingi kutoka kwenye vyanzo mbali mbali vya habari nimegundua kwamba Dr Slaa pamoja na chama chake cha Chadema huwa siwasikii kuyaongelea sana masuala ya Zanziabar na hata hizo harakati zinazofanyika Tanganyika yaani upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano hazihusishi sana upende wa pili wa Muungano yaani Zanzibar je kwa mtazamo huo, Tunaweza kusema ya kwamba Chadema na uongozi wa Chadema hawana habari na Zanzibar. kwa nini Chadema wasipeleke nguvu zao Zanzibar maana naamini Zanzibar kama upande wa pili wa muungano chadema haijulikani kama vile CCM na CUF.(nao pia wanahitaji kusikia sera zao, kwa nini wanawatenga wanzanzibari)

Naomba kuwasilisha.


Si rahisi kwa Chadema kufikiria kufanya kampeni au kuelekeza nguvu Zanzibar. Hiyo inatokana na mfumo wao walijiwekea na malengo yao yapo tofauti kabisa na Zanzibar.

Mfumo wao mkuu ni ukanda, Ukabila na Udini kitu ambacho kinawawia vigumu sana kufikiria Zanzibar.
 
Ukitaka kugundua kuwa wazanzibari ndio waelewa zaidi pima toka ulipoanza uchaguzi wa kwanza mwaka 1995 utagundua kwamba wazanibari ni watu wenye uelwa mkubwa sana na hata hawajalala kama munavyodhania angalieni mapinduzi ya kisisa yalivyotokea zanzibar halafu pimeni na bara hasa bara sio pwani maana hata pwani watu wengi walishaanza kuvichagua vyama vya upinzani kama znz hii inaonesha wazanzibari ni kiio cha watanganyika kuyaendea mapinduzi ya kisiasa na kiuchumi.

Wazanzibari ndio waelewa zaidi? Waelewa wa nini? Kuolewa na CCM ndio uelewa? Laiti mngejua mlivyousaliti upinzani usileta porojo zako hapa.
 
Zanzibar ni sehemu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (Yaani muunganiko wa nchi mbili ya Zanzaibar na Tanganyika) katika kupitia habari nyingi kutoka kwenye vyanzo mbali mbali vya habari nimegundua kwamba Dr Slaa pamoja na chama chake cha Chadema huwa siwasikii kuyaongelea sana masuala ya Zanziabar na hata hizo harakati zinazofanyika Tanganyika yaani upande mmoja wa Jamhuri ya Muungano hazihusishi sana upende wa pili wa Muungano yaani Zanzibar je kwa mtazamo huo, Tunaweza kusema ya kwamba Chadema na uongozi wa Chadema hawana habari na Zanzibar. kwa nini Chadema wasipeleke nguvu zao Zanzibar maana naamini Zanzibar kama upande wa pili wa muungano chadema haijulikani kama vile CCM na CUF.(nao pia wanahitaji kusikia sera zao, kwa nini wanawatenga wanzanzibari)

Naomba kuwasilisha.

Hivi kweli yule mgombea mwenza wa PhD. Slaa alikuwa anatoka Mkuranga vile au ni Mafia?
 
Si rahisi kwa Chadema kufikiria kufanya kampeni au kuelekeza nguvu Zanzibar. Hiyo inatokana na mfumo wao walijiwekea na malengo yao yapo tofauti kabisa na Zanzibar.

Mfumo wao mkuu ni ukanda, Ukabila na Udini kitu ambacho kinawawia vigumu sana kufikiria Zanzibar.

Huwenda maneno yako yanatokana na ukweli nakusikiliza zaidi
 
Hivi kweli yule mgombea mwenza wa PhD. Slaa alikuwa anatoka Mkuranga vile au ni Mafia?

Unaonekana una kichwa kibovu sana, sasa huyo mgombea yuko wapi kama kweli alikuwa mgmbea au gelesha tu.
 
Huenda wakawa na hiari ya kutazama upepo ni wapi wanaweza kuchanga vizuri karata zao,
 
Back
Top Bottom