Mzee Wa Maono
Member
- Jul 18, 2011
- 52
- 10
kubenea
-alinunuliwa mtambo wa kuchapisha magazeti
-alisafirishwa kupelekwa india kutibiwa
-analipwa sh.300,000 kila anapowaandika akina jk na sitta vibaya
slaa
-anapewa orodha mpya ya mafisadi na lowassa
-alimsaidia kutetea kesi yake n aliyoshitakiwa kuchukua mke wa mtu
-ndio sababu hamtaji kwenye orodha zake feki za kifisadi
-ameundiwa mtandao na lowasa wa kuwatambua ccm wanachofanya kibaya.
-wanamtumia deus malya kufuatilia nyendo za viongozi wengi wa serikali.
-alinunuliwa mtambo wa kuchapisha magazeti
-alisafirishwa kupelekwa india kutibiwa
-analipwa sh.300,000 kila anapowaandika akina jk na sitta vibaya
slaa
-anapewa orodha mpya ya mafisadi na lowassa
-alimsaidia kutetea kesi yake n aliyoshitakiwa kuchukua mke wa mtu
-ndio sababu hamtaji kwenye orodha zake feki za kifisadi
-ameundiwa mtandao na lowasa wa kuwatambua ccm wanachofanya kibaya.
-wanamtumia deus malya kufuatilia nyendo za viongozi wengi wa serikali.