Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Wahenga walisema ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni.
Jana jioni watu wasiofahamika lakini wanaoonyesha kuwa walijipanga vizuri kipropaganda walitengeneza na kusambaza habari kwamba Dr. Slaa ameanguka bafuni akiwa jijini Arusha na kufariki dunia.
Nikiwa natafuta ukweli au uongo wa habari hiyo niliwasiliana na viongozi wa CHADEMA Arusha wakanipa mlolongo wote wa uzushi huo ulivyoanza mchana kwa kutangaza kuwa Dr. Slaa kapata ajali ya gari.
Kwa kweli huu ni uongo mkubwa. Sasa tumefikia mahali pa kuzushiana vifo. Sijui tunaenda wapi?ound:
Jana jioni watu wasiofahamika lakini wanaoonyesha kuwa walijipanga vizuri kipropaganda walitengeneza na kusambaza habari kwamba Dr. Slaa ameanguka bafuni akiwa jijini Arusha na kufariki dunia.
Nikiwa natafuta ukweli au uongo wa habari hiyo niliwasiliana na viongozi wa CHADEMA Arusha wakanipa mlolongo wote wa uzushi huo ulivyoanza mchana kwa kutangaza kuwa Dr. Slaa kapata ajali ya gari.
Kwa kweli huu ni uongo mkubwa. Sasa tumefikia mahali pa kuzushiana vifo. Sijui tunaenda wapi?ound: