Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
CHADEMA wasilaumiwe mambo hayawezi kukaa vizuri mara moja;
Ni mchakato wa muda mrefu. Nafikiri CHADEMA ni vema wakazingatia ushauri.
unamaanisha nini??? tarehe 31 october si mbali,
mpaka sasa hatuwaoni kwenye TV waki campaign