TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Nilipomuona jana Dr.Slaa nikakumbuka nyakati na majira yale nilipokuwa karibu naye katika kazi za kisiasa.
Amerejea nchini akiwa na afya njema,amerejea nchini akiwa na msimamo wake uleule kwamba KINACHOMPETA PAMOJA kati yake na JPM ni mapambano chanya dhidi ya Ufisadi, Majizi na kila aina ya uovu.
Ningekuwa na uwezo, Nilitamani sanaaa Dr. Slaa afanye media tour na akapata vipindi vyenye zaidi ya dakika 40 akifafanua hasa
- Msimamo wake kwa speed hii ya serikali ya Magufuli.
- Analysis yake kwa upinzani aliouanzisha na akaachana nao baada ya KUWASALITI watanzania kwa kununuliwa kwenye uchaguzi mkuu
- Darasa huru kwa Watanzania kuhusu kweli ya wapi kama Taifa tunapaswa kupatazama nje ya siasa za Ushabiki na uvyama.
- Future yake kisiasa
Amerejea nchini akiwa na afya njema,amerejea nchini akiwa na msimamo wake uleule kwamba KINACHOMPETA PAMOJA kati yake na JPM ni mapambano chanya dhidi ya Ufisadi, Majizi na kila aina ya uovu.
Ningekuwa na uwezo, Nilitamani sanaaa Dr. Slaa afanye media tour na akapata vipindi vyenye zaidi ya dakika 40 akifafanua hasa
- Msimamo wake kwa speed hii ya serikali ya Magufuli.
- Analysis yake kwa upinzani aliouanzisha na akaachana nao baada ya KUWASALITI watanzania kwa kununuliwa kwenye uchaguzi mkuu
- Darasa huru kwa Watanzania kuhusu kweli ya wapi kama Taifa tunapaswa kupatazama nje ya siasa za Ushabiki na uvyama.
- Future yake kisiasa