Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,841
Sawa ila wewe ni Mpumbavu na Lofa. Hiyo ni kesi ya jinai ndugu. Subiri mda wake utafika. Lazima EL akanyee ndoo, wewe hujui kwanini anautaka uraisi kwa nguvu anajua lazima mvua inamwita. Subiri Magufuli aingie ndio utajua nakueleza nini. Lazima akanyee debe huyu jamaa.Wewe ndio mjinga mkuu! Unashabikia kauli ambazo sio ngeni kabisa! Kama ungekuwa na kumbukumbu alichokisama Slaa juzi ni hicho hicho kinachosemwa miaka yote na kilichosdmwa na Mwakyembe bungeni! Kama wana uhakika na hayo kwa nini Lowasa leo yupo nje? Apelekwe mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake na sio upuuzi wa kusema jinai haina mwisho. Pevuka kijana unaibiwa akili hivihivi bila kujitambua na unatokwa mapovu ya ujinga tu!